wakaka tunaendelea Kwa tabia hizi hutopata mwanamke mwenye akili

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610
Kwa tabia hizi za rejareja jumlisha na zile za jumla mfanoumalaya hutopata mwanamke mwenye akili labda kilaza mwenzio
1- kulalamika kila siku shida
Dada yangu mgonjwa...mama yangu yupo kijijini bati limechukuliwa na upepo,…shangaziyangu kafukuzwa na mume… yaani kila saa kulalamika
Please stop that kila mtu ana shida na kwa vile hata huyo mwanamke hawezi kukusaidia ni boratu ukae nayo moyoni
Mmekutana ni kwaajili ya mapenzi hayo mengine pls keepthem for u a self

2 kuvuta sigara.,.
mpo sehemu mtu anatoa minyota mimoshi hata hamuonani jamani khaaa Dah mbona tunatafutiana mafua? heri ninyamaze tu nisilambe ban bure
Pls stop

3 kupiga mizinga
Dia kuna mshikaji ananidai laki tatu.... mwenye nyumba nae anasumbua plse nisaidie nitakurudishia.
Hapo unajidhalilishani jinsi gani ulivo irresponsible mwanaume unakosa hata kodi ya nyumba ,utakuwa baba gani wa familia.......
Keep it for u a self
3 dharau
Kukashifu marafiki wampenzi wako , ooh rafiki yako Yule simpendi ana vimiguu kaa kijiti daah ulionaje?
Who are you ? unajua katoka nao wapi? Acha…

4 uongo
Kila kitu fix, kila kitu unajua , kila kitu unaweza .....
Hata sahihi yaikulu unaweza kupiga ,pinda mjomba wako .makinda shemeji yako.... manji mshenga wa baba yako ptuuuuuuu....
Upuuzi mtupu

5 kuongea sana utadhani mtu kala cd anabadili topic kama hana akili nzuri
Am allergic kwa kweli sipendi makasuku mimi be gentlepls

7 too demanding
Maswali maswali utadhani ni interview na obama au ni ya kuingia mbinguni
Unalipwa sh ngapi job kwenu?..oooh Nani kakupigia simu jana simu yako ilikuwa busy. sina ndugu / wazazi au nimeshuka tokambinguni?
Acheni hizo

8 ubahili
Toa toa toaubarikiwe,unabaaaana kama ccm igunga?
Narudi kuendelea ……….
 
Kwa tabia hizi za rejareja jumlisha na zile za jumla mfanoumalaya hutopata mwanamke mwenye akili labda kilaza mwenzio
1- kulalamika kila siku shida
Dada yangu mgonjwa...mama yangu yupo kijijini bati limechukuliwa na upepo,…shangaziyangu kafukuzwa na mume… yaani kila saa kulalamika
Please stop that kila mtu ana shida na kwa vile hata huyo mwanamke hawezi kukusaidia ni boratu ukae nayo moyoni
Mmekutana ni kwaajili ya mapenzi hayo mengine pls keepthem for u a self

2 kuvuta sigara.,.
mpo sehemu mtu anatoa minyota mimoshi hata hamuonani jamani khaaa Dah mbona tunatafutiana mafua? heri ninyamaze tu nisilambe ban bure
Pls stop

3 kupiga mizinga
Dia kuna mshikaji ananidai laki tatu.... mwenye nyumba nae anasumbua plse nisaidie nitakurudishia.
Hapo unajidhalilishani jinsi gani ulivo irresponsible mwanaume unakosa hata kodi ya nyumba ,utakuwa baba gani wa familia.......
Keep it for u a self
3 dharau
Kukashifu marafiki wampenzi wako , ooh rafiki yako Yule simpendi ana vimiguu kaa kijiti daah ulionaje?
Who are you ? unajua katoka nao wapi? Acha…

4 uongo
Kila kitu fix, kila kitu unajua , kila kitu unaweza .....
Hata sahihi yaikulu unaweza kupiga ,pinda mjomba wako .makinda shemeji yako.... manji mshenga wa baba yako ptuuuuuuu....
Upuuzi mtupu

5 kuongea sana utadhani mtu kala cd anabadili topic kama hana akili nzuri
Am allergic kwa kweli sipendi makasuku mimi be gentlepls

7 too demanding
Maswali maswali utadhani ni interview na obama au ni ya kuingia mbinguni
Unalipwa sh ngapi job kwenu?..oooh Nani kakupigia simu jana simu yako ilikuwa busy. sina ndugu / wazazi au nimeshuka tokambinguni?
Acheni hizo

8 ubahili
Toa toa toaubarikiwe,unabaaaana kama ccm igunga?
Narudi kuendelea ……….

Wee mwanamke una mashart sana usitegemee kama nitakutokea....ptuuuuu!!!!!!!!
 
Du Smile leo naona umeamua kututolea uvivu, haya bana nasubiri urudi tena kama ulivyoahidi
 
Katika vitu usivyopenda hapo juu mimi nafiti namba mbili tuu maana ni kweli sivuti sigara, lakini kuchonga nachonga sana, mizinga napiga kama kawa, haiwezekani Smile nakuona una mawe alafu nina shida nimeshakuhadithia sana nishindwe kukupiga mzinga....lol
 
Yan wee kaka kweli ni mdada unaongea sana smile! We utakuwa umefungiwa DVD wala sio CD! Ila wote mmekutana jamani! dada magumashi, kaka magumashi, nyie mnalandana kabisaaaa!
 
mimi huwa najiuliza hili
wanawake wanalalamika mno siku hizi kwa wanaume
kuwapiga mizinga na kupendwa kulelewa...

hivi haya mambo yako too common kiasi gani?
labda katika wanaume kumi wangapi wanafanya hivyo siku hizi?

age yao ni ipi?
ni wanafunzi wa vyuo tu?au?
 
mimi huwa najiuliza hili
wanawake wanalalamika mno siku hizi kwa wanaume
kuwapiga mizinga na kupendwa kulelewa...

hivi haya mambo yako too common kiasi gani?
labda katika wanaume kumi wangapi wanafanya hivyo siku hizi?

age yao ni ipi?
ni wanafunzi wa vyuo tu?au?
yaani wengi sana the boss can u imagine mtu kjajitoa mhanga anadate na mume wa mtu
anapigwa mzinga eti mamamkwe mgonjwa ... ajatulia watoto wanadaiwa ada darling nilipie muhula huu....
sijui tunaelekea wapi?
 
Smile kuna mambo ambayo kama mtu na rafiki yake wanasaidiana na siwezi kusema ni aibu kufanya
Usiite kupiga mzinga
Kama kwa mfano mshahara wangui uliishia kwenye ujenzi wa nyumba na nikaja kuomba kiasi kidogo kwako cha matumizi utasema ni mzinga na kama nachukua kwa nia kwamba nitarudisha nayo unaiita mzinga
kuna mambo ambayo umenikuta nayo navuta sifara zangu kwa raha zangu niambie taratibu dear hiyo kitu sipendi naomba ujitahidi kuacha nitaelewa
Hayo mengine siongei sana
Ila duh kwa mtaji huo mume utakayempata ana balaaa
 
1. Halalamiki. . .
2. Havuti sigara. . .anachukia hata akiona mtu anavuta.
3. Hapigi mizinga. . .
4. Hana dharau. . .
5. Sijaona uongo uongo. . .
6. Haongei sana. . .
7. Sio demanding. .
8. Sio bahili. .

Ngoja niombe uchumba!!
 
Mambo yote huwa sina lakini hiyo namba saba somehow lazima nijue whats going on sasa kama wewe ni mpenzi wangu hutaki nijue unalipwa kiasi? au kila saa simu yako iko busy nisiulize? full time unachat na hiyo nayo ninyamaze?
 
He he he he he, ukipenda boga. . . . .

Ratio ya 1:5 lhivi, tena wanaomba na vocha na tafadhali nipigie juu.

yaani wengi sana the boss can u imagine mtu kjajitoa mhanga anadate na mume wa mtu
anapigwa mzinga eti mamamkwe mgonjwa ... ajatulia watoto wanadaiwa ada darling nilipie muhula huu....
sijui tunaelekea wapi?
 
Kwa tabia hizi za rejareja jumlisha na zile za jumla mfanoumalaya hutopata mwanamke mwenye akili labda kilaza mwenzio
1- kulalamika kila siku shida
Dada yangu mgonjwa...mama yangu yupo kijijini bati limechukuliwa na upepo,…shangaziyangu kafukuzwa na mume… yaani kila saa kulalamika
Please stop that kila mtu ana shida na kwa vile hata huyo mwanamke hawezi kukusaidia ni boratu ukae nayo moyoni
Mmekutana ni kwaajili ya mapenzi hayo mengine pls keepthem for u a self

2 kuvuta sigara.,.
mpo sehemu mtu anatoa minyota mimoshi hata hamuonani jamani khaaa Dah mbona tunatafutiana mafua? heri ninyamaze tu nisilambe ban bure
Pls stop

3 kupiga mizinga
Dia kuna mshikaji ananidai laki tatu.... mwenye nyumba nae anasumbua plse nisaidie nitakurudishia.
Hapo unajidhalilishani jinsi gani ulivo irresponsible mwanaume unakosa hata kodi ya nyumba ,utakuwa baba gani wa familia.......
Keep it for u a self
3 dharau
Kukashifu marafiki wampenzi wako , ooh rafiki yako Yule simpendi ana vimiguu kaa kijiti daah ulionaje?
Who are you ? unajua katoka nao wapi? Acha…

4 uongo
Kila kitu fix, kila kitu unajua , kila kitu unaweza .....
Hata sahihi yaikulu unaweza kupiga ,pinda mjomba wako .makinda shemeji yako.... manji mshenga wa baba yako ptuuuuuuu....
Upuuzi mtupu

5 kuongea sana utadhani mtu kala cd anabadili topic kama hana akili nzuri
Am allergic kwa kweli sipendi makasuku mimi be gentlepls

7 too demanding
Maswali maswali utadhani ni interview na obama au ni ya kuingia mbinguni
Unalipwa sh ngapi job kwenu?..oooh Nani kakupigia simu jana simu yako ilikuwa busy. sina ndugu / wazazi au nimeshuka tokambinguni?
Acheni hizo

8 ubahili
Toa toa toaubarikiwe,unabaaaana kama ccm igunga?
Narudi kuendelea ……….
Naona unaanza kututafuta uchokozi humu jamvini. Humjui rejao ee!!
 
Mambo yote huwa sina lakini hiyo namba saba somehow lazima nijue whats going on sasa kama wewe ni mpenzi wangu hutaki nijue unalipwa kiasi? au kila saa simu yako iko busy nisiulize? full time unachat na hiyo nayo ninyamaze?


Mkuu mambo mengine yako wazi kabisa wala hayahitaji miwani ya kusomea
Mkuu mzima wewe
 
Smile kuna mambo ambayo kama mtu na rafiki yake wanasaidiana na siwezi kusema ni aibu kufanya
Usiite kupiga mzinga
Kama kwa mfano mshahara wangui uliishia kwenye ujenzi wa nyumba na nikaja kuomba kiasi kidogo kwako cha matumizi utasema ni mzinga na kama nachukua kwa nia kwamba nitarudisha nayo unaiita mzinga
kuna mambo ambayo umenikuta nayo navuta sifara zangu kwa raha zangu niambie taratibu dear hiyo kitu sipendi naomba ujitahidi kuacha nitaelewa
Hayo mengine siongei sana
Ila duh kwa mtaji huo mume utakayempata ana balaaa
kaka hichi kizazi cha dot com hakina aya .wanakufanya atm kabisa ukilemaa
kuhusu mume mimi niko simple sana sema nina ishi kwa principles zangu sipendi upuuzi kwa kweli
maisha ni haya haya
 
yaani wengi sana the boss can u imagine mtu kjajitoa mhanga anadate na mume wa mtu
anapigwa mzinga eti mamamkwe mgonjwa ... ajatulia watoto wanadaiwa ada darling nilipie muhula huu....
sijui tunaelekea wapi?


labda wanafanya kama njia ya kukuzuia
usimchune.....anakuwahi ili
ushindwe hata namna ya kumchuna
ubaki uwe unalipwa pesa yako hiyo hiyo...
while anapata anachotaka at the same time
 
1. Halalamiki. . .
2. Havuti sigara. . .anachukia hata akiona mtu anavuta.
3. Hapigi mizinga. . .
4. Hana dharau. . .
5. Sijaona uongo uongo. . .
6. Haongei sana. . .
7. Sio demanding. .
8. Sio bahili. .

Ngoja niombe uchumba!!
hapo kwa colour sijui?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom