Wakaka, rembesheni ndevu zenu

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
1,340
1,377
Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na kuleta mwonekano mbaya.

Kwa mwanaume napenda akate ndevu zake ziwe fupi, na ikiwezekana azirembeshe
Staili nizipendazo ni hizi:

MUSTACHE STYLES.jpg
Binafsi napendelea sana pencil mustache, au kama hapa chini:

MUSTACHE STYLES.jpg
BEARD1.jpg


MUSTACHE STYLES.jpg
BEARD1.jpg
BEARD7NICE.jpg
 
Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na kuleta mwonekano mbaya.

Kwa mwanaume napenda akate ndevu zake ziwe fupi, na ikiwezekana azirembeshe
Staili nizipendazo ni hizi:

View attachment 447297 Binafsi napendelea sana pencil mustache, au kama hapa chini:

View attachment 447297 View attachment 447298

View attachment 447297 View attachment 447298 View attachment 447299
Kwahiyo ukioana mkaka mwenye ndevu Na anazihudumia wewe hoi
 
Sana tu aisee, kama hao wakaka kwenye picha na pencil beard zao. Una kitu kama hicho?
Ha ha mie huwa natoa kila kitu. Sitaki kufuga kabisa haya makitu Yaani nakuwa kama mtoto. Si unajua tena navihela vyetu ukitia mbwe mbwe watu watajua pedeshee kumbe pedeshe ukchwara. Ila nikimpata atakeye nambia fuga nafuga vizuri tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom