Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na kuleta mwonekano mbaya.
Kwa mwanaume napenda akate ndevu zake ziwe fupi, na ikiwezekana azirembeshe
Staili nizipendazo ni hizi:
Binafsi napendelea sana pencil mustache, au kama hapa chini:
Kwa mwanaume napenda akate ndevu zake ziwe fupi, na ikiwezekana azirembeshe
Staili nizipendazo ni hizi: