Kwa picha ninayotaka kuweka hakuna anayeweza kuvaa hivyo ndio maana nimeona bora niache
shame on u baba enock. huwezi kumrushia dada wa watu maneno kama hayaHuyo changudoa tu - Hamna cha Uhuru wala nini..
Unavaa Gagulo unatoka mchana kweupe? w.t.f?
jitahidi usinuke shombo la mtotoSawa ngoja niwahi kumpa maziwa mtoto, na kumchukua yule wa nursery.
pilipili usiyoila yakuwashia nini?
mtu si mama/dada/demu wako kwa nini usimpotezeeee?
natamani nikupige ban ya mweziHiyo nguo sio ya kuvaa na kutembea nayo barabarani unategemea nini, mjifunze kila nguo ina sehemu yake ya kuvaa
na ukishampotezea?
kwanza hiyo adha yote ya nini lakini? hapo yeye mwenyewe angekuwa na jeuri asingekubali hata kupewa hicho kitenge ajisitiri. sasa kama alivaa hivo na kumbe hata uwezo wa kuhimili hayo hana ina maana gani basi.
hamna mtu asiye na mapungufu?umesema vizuri aisee...unamuogopa honey wako kisha nyuma ya mgongo wake ndo unafanya asoyapenda? huo si ni unafiki Mertyna?
huo ndio ulijaa manake haiwezekani kila mdada anasema hivi sivai wakat mtaani wapo ina maana JF wadada ni spicies tofauti??kweli labda ni vema kuangalia tuna vaa nini na wapi..
lakini hapa kwetu kuna unafiki
sana wa sitaki na taka...
merytina! Is this right for you? would you do the same? Huko Arusha unavaa hivyo? This leaves a lot to be desired.........
wewe ni pumbafu kabisa mkimbaka mdada kama huyu nitatumia pesa yangu yote kumtetea hadi upigwe jela maisha yako yote. hii ni pumbafu kabisa, njaa zako huko huko nyumbani kwenuTena huyu anabahati sana angepite mitaa ya kwetu angebakwa kabisa!!
Hahaha!! Mwalimu habari yako:A S 103::A S 103:Weka tuone ......)
Uhuru wa Mwanamke si kujiweka uchi au nusu uchi.
O children of Adam! Surely we have bestowed upon you a garment to cover your shame, as well as to be an adornment to you, and the garment of piety is the best. (al-Araf, 26)
Qur'an: Enyi wanaadamu! Tumekuteremshieni nguo za kuficha tupu zenu, na nguo za pambo. Na nguo za uchamngu ndio bora. Hayo ni katika Ishara za Mwenyezi Mungu mpate kukumbuka.
[FONT=Arial, Helvetica]Bible: I also want women to dress modestly, with decency and propriety, not with braided hair or gold or pearls or expensive clothes, but with good deeds, appropriate for women who profess to worship God.[/FONT][FONT=Arial, Helvetica] (NIV, 1 Timothy 2:9-10)[/FONT]