- Thread starter
- #21
tatizo lipo hapo Mertyina: what to wear and where to wear!
Kijijini kwetu siwezi kuvaa leggings na top dress, watanishangaa na kunilaani lakini daslamu wala hakuna anayekushangaa.
Yeye akawavalie wanyalu lesi lesi hizo alifikiri nini?.
Wakati mwingine tunajidhalilisha wenyewe tu.
ina maana iringa mjini kipi wasichokijua mpaka wamghasi dada yetu?