richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,454
- 3,469
Habari zenu jf members!
Kati ya vitu adimu tulivyojaliwa wanawake ni hali ya kuficha hisia katika mambo ya mahusiano, iwe kupenda,ham ya kusex, siku zote ni vigumu msichana kumtamkia mvulana kuwa anampenda au ana ham ya kufanya mapenzi
Wadada hata tubanwe vipi na ile ham huwa hatuna ubavu wa kumtamkia mvulana direct kwamba tuna ham ya sex ila matendo yetu tu na mitego mkaka anayejielewa atajua tu girl wake anataka kufanywa nini.
Hivi inakuwaje girl wako atoke kwao hadi kwako then umuangalie tu kama picha ya ukutani?. Hivi mshawahi kujiuliza msichana mwenye akili zake atoke kwao akufwate kwako tu alafu unamwangalia tu hadi anaondoka.
Tena wadada tukizidiwaga na ham hasa tukifika nyumbani kwa wale wakaka wenye mageto huwa tunakaaga kitandani kabisa ila sofa tunalionaga lakini ili kuwarahisishiaga kazi huwa tunakaa tu kitandani,
Unakuta mkaka unamuwashia girl wako TV lakini anakwambia uzime hajiskii kuangalia, unamuwashia feni anakwambia "please usiwashe naskia baridii" then anakwambia "funga mlango nzi wataingia ndani"
Lakini pamoja na mitego yote hiyo utakuta mwanaume anamuacha girl anaondoka na ham yake bila kumgusa
Wakaka mna huruma nyiee
Kati ya vitu adimu tulivyojaliwa wanawake ni hali ya kuficha hisia katika mambo ya mahusiano, iwe kupenda,ham ya kusex, siku zote ni vigumu msichana kumtamkia mvulana kuwa anampenda au ana ham ya kufanya mapenzi
Wadada hata tubanwe vipi na ile ham huwa hatuna ubavu wa kumtamkia mvulana direct kwamba tuna ham ya sex ila matendo yetu tu na mitego mkaka anayejielewa atajua tu girl wake anataka kufanywa nini.
Hivi inakuwaje girl wako atoke kwao hadi kwako then umuangalie tu kama picha ya ukutani?. Hivi mshawahi kujiuliza msichana mwenye akili zake atoke kwao akufwate kwako tu alafu unamwangalia tu hadi anaondoka.
Tena wadada tukizidiwaga na ham hasa tukifika nyumbani kwa wale wakaka wenye mageto huwa tunakaaga kitandani kabisa ila sofa tunalionaga lakini ili kuwarahisishiaga kazi huwa tunakaa tu kitandani,
Unakuta mkaka unamuwashia girl wako TV lakini anakwambia uzime hajiskii kuangalia, unamuwashia feni anakwambia "please usiwashe naskia baridii" then anakwambia "funga mlango nzi wataingia ndani"
Lakini pamoja na mitego yote hiyo utakuta mwanaume anamuacha girl anaondoka na ham yake bila kumgusa
Wakaka mna huruma nyiee