ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,725
Mambo niaje
Niende moja kwa moja kwenye maada nikianza kwa kueleza masikitiko yangu kuhusiana na Hawa wanawake zetu.tumeshashuhudia jinsi baba zetu na Babu zetu na baadhi ya member wa humu jf wakitoa malalamiko walivyopita katika maisha ya ndoa kiukweli inatesa Sana wanawake wa kileo ndio kasheshe zaidi yaani kugongewa kupo Kama kote vile.nimeshuhudia kabisa ndoa mbili ambazo ni za ndugu zangu jinsi wake zao walivyokuwa waki cheat nje Tena na dharau juu.mtu kaolewa na boss mkubwa lakini Anakwenda kugawa penzi nje Tena kwa dereva bajaji.dah inauma sana.
Sasa Mimi nimewaita hapa jf ili tujue tunafanyaje maana huko tunaopelekea tutakuja kuoa magarasa halafu tuje kupata Moto ndani ya ndoa tufe mapema na ma stress.tufanyaje Sasa maana me sielewi siwaamini kabisa Hawa kina dada.wasiwasi wa kufanyiwa vituko,madharau ni mkubwa sana.tukiwauliza walio kwenye ndoa wanasema kila mmoja apambane na Hali yake.inahitaji uvumilivu unajua.nyie mnasemaje vijana wenzangu tuachane na habari za kuoa au Kila mmoja afe na tai yake shingoni?
Niende moja kwa moja kwenye maada nikianza kwa kueleza masikitiko yangu kuhusiana na Hawa wanawake zetu.tumeshashuhudia jinsi baba zetu na Babu zetu na baadhi ya member wa humu jf wakitoa malalamiko walivyopita katika maisha ya ndoa kiukweli inatesa Sana wanawake wa kileo ndio kasheshe zaidi yaani kugongewa kupo Kama kote vile.nimeshuhudia kabisa ndoa mbili ambazo ni za ndugu zangu jinsi wake zao walivyokuwa waki cheat nje Tena na dharau juu.mtu kaolewa na boss mkubwa lakini Anakwenda kugawa penzi nje Tena kwa dereva bajaji.dah inauma sana.
Sasa Mimi nimewaita hapa jf ili tujue tunafanyaje maana huko tunaopelekea tutakuja kuoa magarasa halafu tuje kupata Moto ndani ya ndoa tufe mapema na ma stress.tufanyaje Sasa maana me sielewi siwaamini kabisa Hawa kina dada.wasiwasi wa kufanyiwa vituko,madharau ni mkubwa sana.tukiwauliza walio kwenye ndoa wanasema kila mmoja apambane na Hali yake.inahitaji uvumilivu unajua.nyie mnasemaje vijana wenzangu tuachane na habari za kuoa au Kila mmoja afe na tai yake shingoni?