Mzalendo wa kusini
New Member
- Jun 10, 2013
- 2
- 0
Kigonsera sekondari, nishule kongwe ambayo waheshimiwa wengi wamesoma kama :-rais mstaafu B.W.Mkapa, Naibu waziri Tamisemi kasim majariwa. na wengine kibao. masikitiko yangu ni jinsi shule inavyoendeshwa kwa ufujaji mkubwa wa pesa za serikali unao fanywa na Mkuu wa shule pamoja na Mtunza stoo wa shule. Shule inaangamia jamani tizameni caigo