ahmed omar
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 266
- 212
InawezekanaNimejenga kuanzia msingi hadi renta fundi kachukua 1.5 million, nyumba ina vyumba vitatu, jiko, dinning room, room zote master. Stoo....
InawezekanaNimejenga kuanzia msingi hadi renta fundi kachukua 1.5 million, nyumba ina vyumba vitatu, jiko, dinning room, room zote master. Stoo....
Huyo mwizi sio fundi. Happ bado hajakuibia SimentiMkuu aliniambia hiyo ni gharama ya ufundi wa msingi wa nyumba tuu, ni nje ya material (namaanisha material ni juu yangu ni nje ya hiyo 1.8M)
Siku hizi madalali wa viwanja wanasimamia ujenzi baada ya maisha kuwa magumu wanajiita mainjinia
Huyo mwizi sio fundi. Happ bado hajakuibia Simenti
Dar hawajengei mawe sana sanaKama ni nyumba ya vyumba vitatu jiko na vyoo ndani andaa tofali 2,500 mawe trip 9 hizi Lori za size 4.5 mchanga, halafu tafuta million 1.2 unapata fundi anakujengea kuanzia msingi hadi kunyanyua boma lote, material na gharama za ufundi zitaangukia kwenye Kama 6M inabaki kupaua tu na kuendeleza jengo unajikusanya tena, achana na huyo fundi wa 1.8M kwenye msingi tu atakutapisha damu.
Umenikumbusha fundi mmoja anaitwa Malisa, yaan kama jina lake lilivyo nilikoma.Huyo mwizi sio fundi. Happ bado hajakuibia Simenti
Kama.uko serious kabisa naweza kukuunganisha na fundi aliyemijengea kwa bei chee kabisa. Fundi maridadi hana makuu. Baada ya kunijengea mimi kutokana na ubora wake alipata kazi zingine nne jirani yangu kwa kuwa watu walivutiwa na ubora wake. Bei yake ni nzuri sana. Kwa hiyo 12x12 kama kiwanja kiko poa atakufanyia kwa 1M lakini mnaweza kuongea zaidi haiwezi kuzidi 1.2MHabarini ndugu zangu,
Nataka kuanza kujenga nyumba ya kuishi, maeneo ni Dar es Salaam, naombeni mbinu bora ya kufanya ujenzi katika angle ya kuwalipa awa mafundi ujenzi, kuna fundi nimeongea nae kuhusu kuniwekea msingi tu wa mita 12 kwa 12 aliniambia almost milion 1.8 nimechoka na kuchoka wakuu.
Maana mimi uko sikufikiria kabisa, ebu nipeni njia bora ambayo wenzangu mnatumia kujenga kwa ubora na unafuu ukianzia na msingi kisha kupandisha nyumba.
1.2M fundi ajenge msingi hadi boma? Wenzetu hizo nyumba mnazijengea wapi?Kama ni nyumba ya vyumba vitatu jiko na vyoo ndani andaa tofali 2,500 mawe trip 9 hizi Lori za size 4.5 mchanga, halafu tafuta million 1.2 unapata fundi anakujengea kuanzia msingi hadi kunyanyua boma lote, material na gharama za ufundi zitaangukia kwenye Kama 6M inabaki kupaua tu na kuendeleza jengo unajikusanya tena, achana na huyo fundi wa 1.8M kwenye msingi tu atakutapisha damu.
Ndo bei hiyo ila ukikaa kifala lazma wakugegede1.2M fundi ajenge msingi hadi boma? Wenzetu hizo nyumba mnazijengea wapi?