Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,352
- 1,485
Kauli mbiu, Ubahili ndio maendeleo chukua hatua"karibu uwabata hutojuta
(umoja wa wanaume bahili tanzania)
Kauli mbiu, Ubahili ndio maendeleo chukua hatua"karibu uwabata hutojuta
(umoja wa wanaume bahili tanzania)
Haya matoto ya JF shida tupu!Kamwe wajinga hawatakaa waishe
Hili nalo la kuomba ushauri
Chunga utapigwa sana na ushamba wako
Nonsense!Mkuu unaelewa maana ya forum? Sio kila mtu anayeandika hapa kwa ajili ya kuomba ushauri ni mjinga na mshanga ,hapa ni mahali pa watu kushirikishana mambo mbalimbali ya kushare experiences mbalimbali , sio kwamba huyu msichana nashindwa cha mjibu hapana ,ila nimeleta uzi huu ili kushirikishana na kupata uzoefu wa matatizo kama haya kwa maana naamini hata ni mahali penye watu wenye busara na uzoezi.
"KUNA HELA NAISKILIZIAA". .... Simple answer mzeeHabari za mida hii wana JF wote, natumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa nchi yetu lakini mkichukua taadhari zote zinazohusiana na Covid 19.
Nije kwenye mada, leo nimepokea sms kutoka kwa msichana aliyenisumbua huko nyuma yaani takribani mwezi miwili imepita sasa. Nilijaribu kufanya jitihada zote ili niweze kumpata lakini akawa anazungusha zungusha sana huku akitoa sababu za hapa na pale najua mnanielewa.
Baada ya kumpotezea leo kanitumia sms kwamba nimwazime Elfu 30000 na amehaidi kuniludishia, binafsi moyo umesituka kidogo kama mnavyojua hii wakati huu wa nchi ya viwanda inahitaji umakini kidogo katika pesa. Mpaka sasa sijamjibu chochote nikaona ngoja nije kwa mabaharia ili tujadili kidogo hii mada.
Amesema ni elfu 30,000. itafakari kidogo hiiMbona washangaa, tupo uchumi wa kati 30k Tsh. lazima ijadiliwe. Teh teh teh...
😂Mbona washangaa, tupo uchumi wa kati 30k Tsh. lazima ijadiliwe. Teh teh teh...
😂 Ivi mabaharia kuna vitabu na mafungu tu mazuri ya kujifunza?Imeandikwa
"Mwanamke hakopeshwi hela na mwanaume"
Soma Mpalange 6 Msitari wa sita
Ova!
Umenikumbusha mbali.Habari za mida hii wana JF wote, natumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa nchi yetu lakini mkichukua taadhari zote zinazohusiana na Covid 19.
Nije kwenye mada, leo nimepokea sms kutoka kwa msichana aliyenisumbua huko nyuma yaani takribani mwezi miwili imepita sasa. Nilijaribu kufanya jitihada zote ili niweze kumpata lakini akawa anazungusha zungusha sana huku akitoa sababu za hapa na pale najua mnanielewa.
Baada ya kumpotezea leo kanitumia sms kwamba nimwazime Elfu 30000 na amehaidi kuniludishia, binafsi moyo umesituka kidogo kama mnavyojua hii wakati huu wa nchi ya viwanda inahitaji umakini kidogo katika pesa. Mpaka sasa sijamjibu chochote nikaona ngoja nije kwa mabaharia ili tujadili kidogo hii mada.
Kwa nini leo hujaenda shule?Habari za mida hii wana JF wote, natumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa nchi yetu lakini mkichukua taadhari zote zinazohusiana na Covid 19.
Nije kwenye mada, leo nimepokea sms kutoka kwa msichana aliyenisumbua huko nyuma yaani takribani mwezi miwili imepita sasa. Nilijaribu kufanya jitihada zote ili niweze kumpata lakini akawa anazungusha zungusha sana huku akitoa sababu za hapa na pale najua mnanielewa.
Baada ya kumpotezea leo kanitumia sms kwamba nimwazime Elfu 30000 na amehaidi kuniludishia, binafsi moyo umesituka kidogo kama mnavyojua hii wakati huu wa nchi ya viwanda inahitaji umakini kidogo katika pesa. Mpaka sasa sijamjibu chochote nikaona ngoja nije kwa mabaharia ili tujadili kidogo hii mada.
mamaee mpalange 6 😂😂😂😂😂😂Imeandikwa
"Mwanamke hakopeshwi hela na mwanaume"
Soma Mpalange 6 Msitari wa sita
Ova!
Kwakweli aiseeHaya matoto ya JF shida tupu!
Nina zawadi yako geto njoo uipitie....Badala asuburie jion iingie amwambie aende kuchukua nyumbani huko huko amkule,, yeye anambwelambwela tu..
Anakuja kuanzisha uzi humu wa kuomba ushauri.
Bure kabisa
Mkuu..hiyo dawa hapo kwa ID yako Ni nomakaribu uwabata hutojuta
(umoja wa wanaume bahili tanzania)