Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 625
- 1,251
Kiti cha Rais kina mamlaka (ndio maana hawezi kukikalia mtu ambae sio Rais
Nadhan mnakumbuka ile picha ya yule dogo mchekeshaji Idriss Sultan baada ya kukitumia kile kiti
Sasa tupo kwenye msiba kiti kama mamlaka kinaonesha kuomboleza hapo ni sawa na kujifunga kitambaa cheusi mkononi
Kuna matimaso watabishi, ila subirini muone baada ya maombolezo kama hiko kidude kitakuwepo
Nadhan mnakumbuka ile picha ya yule dogo mchekeshaji Idriss Sultan baada ya kukitumia kile kiti
Sasa tupo kwenye msiba kiti kama mamlaka kinaonesha kuomboleza hapo ni sawa na kujifunga kitambaa cheusi mkononi
Kuna matimaso watabishi, ila subirini muone baada ya maombolezo kama hiko kidude kitakuwepo