Oltung'anyi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 284
- 196
Wadau, huwa ninapata shida kwenye matamshi ya jina linaloandikwa Middle.
Mwenye jina hulitamka "Middle" lakini linavyoandikwa, kwa uwepo wa d mbili, naona kama linakuwa so jina katika lugha ya Kiswahili. Hivyo, kwa namna linavyoandikwa, pengine lingetamkwa Mido.
Sijui wadau mnaonaje. Yawezekana mwenye jina akasoma Uzi huu pia, anaweza tu kutolea ufafanuzi, kwa mini jina linasomeka/tamkwa Midle badala ya Mido.
Binafsi ningependekeza kama ni jina la Kiswahili, liandikwe Midle na lisomeke hivyo hivyo.
Kama ni jina la kimagharibi, basi liendelee kuandikwa hivyo hivyo, Middle na lisomeke na kutamkwa Mido.
Mwenye jina hulitamka "Middle" lakini linavyoandikwa, kwa uwepo wa d mbili, naona kama linakuwa so jina katika lugha ya Kiswahili. Hivyo, kwa namna linavyoandikwa, pengine lingetamkwa Mido.
Sijui wadau mnaonaje. Yawezekana mwenye jina akasoma Uzi huu pia, anaweza tu kutolea ufafanuzi, kwa mini jina linasomeka/tamkwa Midle badala ya Mido.
Binafsi ningependekeza kama ni jina la Kiswahili, liandikwe Midle na lisomeke hivyo hivyo.
Kama ni jina la kimagharibi, basi liendelee kuandikwa hivyo hivyo, Middle na lisomeke na kutamkwa Mido.