Wajuzi wa karate, ni kwanini Bruce Lee alikuwa anajikaza sana wakati wa kupigana?

Unakataa kwann?au sababu ni movie?

Hivi mkuu vitu vyote vya kwnye movie ni fake?
Mkuu lile pigano la Bruce Lee na Chuck Noris Lina umovie mwingi.

Pambano ambalo Mimi naliona liko real kwa kiasi kikubwa Ni pambano la Machael Jai White na Matt Mulins katika BLOOD AND BONE.

Mle mkono umechezwa bila longo longo, hadi unaona uhalisia Kama makosa ya:
★ balansi, (kuyumba)
★ kuweweseka (kukwepa au kusogea wakati hujapigwa)
★ uzito wa kuinuka n.k
 
Mkuu lile pigano la Bruce Lee na Chuck Noris Lina umovie mwingi.

Pambano ambalo Mimi naliona liko real kwa kiasi kikubwa Ni pambano la Machael Jai White na Matt Mulins katika BLOOD AND BONE.

Mle mkono umechezwa bila longo longo, hadi unaona uhalisia Kama makosa ya:
★ balansi, (kuyumba)
★ kuweweseka (kukwepa au kusogea wakati hujapigwa)
★ uzito wa kuinuka n.k
Ingia Google tafuta Bruce na chuck Norris real fight.
 
Acha kudanganyika yule jamaa inasadikika chanzo kikubwa cha kifo chake ni uvimbe ambao ulijitengeneza kwenye ubongo wake kwa sababu alizidisha mazoezi kupita kiasi.Kitendo cha kukakamaa ni mbinu za kikarate kwenye kuutia ganzi mwili ili mwili uwe kama resistance kwa pigo kutoka kwa adui pia inasaidia kwenye kuachia effective pigo kwa adui.

Alipata uvimbe kwenye ubongo sababu alitumia dawa ya kutuliza maumivu ambayo haipaswi kutumika kwa watoto below 16 years. Dawa hiyo aliitumia kipindi ambacho alikuwa hajafikisha umri huo so madhara yake yakaja kutokea akiwa mtu mzima.
 
Hakuna cha uvimbe wala nini, yule na mwanae Brandon walipotezwa kwa sababu maalum

Mmoja ( Bruce) aliangamizwa kwa sababu za kimaslahi na mwingine kuepuka kuja kulipiza kisasi
Hizi stories mnapigiana vijiweni nawe unabeba kuleta huku. Leta credible source hapa. Msipende kuchukulia wote walio humu ni vilaza.
 
Style tu hiyo, nothing special .
Nothing special?. Sio kweli. Post hiyo ya juu ndio lengo hasa. Ukijikaza sana ngumi ya adui ikikupata inadunda tu kama hajakupiga hivi,ni kama amepiga kwenye ngozi isio na uhai. Kingine kazi yoyote kama ya kupigana au kubeba vitu vizito haitakiwi ulegee au ubebe kisoft utaumia sana. Mfano mwingine hata mchezaji mpira anapokabana na mwingine lazima akakamae,ukiona mchezaji anaumia mara kwa mara ujue huyo hakazi mwili wake iwe kukaba au kukimbia,ni rahisi kutenguka. Hata mkimbia mbio tu lazima aukaze mwili ili asitenguke. Sasa hapo kadiri unavyoukaza mwili wako katika jambo husika ndivyo unazidi kujiimarisha zaidi kwenye hilo jambo. Ndio huyo Bruce Lee
 
Kujikaza ni mwembwe tu ili aonyeshe misuli yake.Kumbuka alikuwa ni mcheza sinema.Mpiganaji hodari mara nyingi anapigana akiwa amerelax ili asipoteze nguvu.Angalia wale ma-master wa kung fu jinsi wanavyokuwa wamerelax

Zile sauti za ajabu zinaitwa Kiai.Lengo lake ni kuongeza mzuka wa kupigana.
Style ya kurelax ilikuja kufanyiwa umodern ikawa kama ya kilevi, tizama Drunken Tai- Chi
 
Style ya kurelax ilikuja kufanyiwa umodern ikawa kama ya kilevi, tizama Drunken Tai- Chi
Oh yes...

Judo inatumia sana ku-relax.Mtu wala hutumiimiguvu.Unakuwa unatumia nguvu za adio yako kumuangushia kichapo.

Ndio maana wale ma-master wazee bado wanakuwa ni hatari licha ya kupoteza nguvu sababu ya uzee.
 
Halafu wala hakuwa mkali kiviiile
Kiuhalisia Bruce Lee anasifika kwa city hivi:

-IMANI
- ITIKADI na
-FALSAFA za Martia arts na Muasisi wa Styles nyingi za kupigana, kwa mfano ''JEET KUNE DO'' hii aliianzisha kabisa yeye kama yeye.

Pia, katika wacheza KUNG FU mashuhuri zaidi na wanaoheshimika sana China ni Bruce Lee

PIA,
 
Back
Top Bottom