Wajuzi wa Hesabu tupeni majibu hapa!

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,369
Hii shilingi kumi imetoka wapi tena?
Tafadhali tusaidieni.
IMG_20200205_094455.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200205_094455.jpeg
    IMG_20200205_094455.jpeg
    32.7 KB · Views: 3
Pesa yako taslimi ni ile iliyotumika(spend) hauwez ukajumlisha balance alafu mlinganyo ukakaa Sawa

Ukitaka kujua hilo, twende na mfano huu
Nilikua na 1000 nimetumia 100 imebak 900.
Alafu nikatumia 300 katika 900 imebak 600

Sasa nikijumlisha balance: 900+600=1500 kitu ambacho sio Sawa et nijiulize 500 imetoka wapi?


Najua hii awamu ya 5 sio mchezo, ila tutumie akil ya kawaida jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbn hata 500 yenyewe ilikuwa balance... Ukiijumlisha hapo total balance ni 1010
Kwahyo hamna maana hata ya kuzijumlisha hizo balance
 
Hilo la kitoto jaribu hili

Ulienda wewe na marafiki zako wawili jumla wa3 cafeteria kula.
Baada ya kula
Bill ikaja 3000/=
Mkachangishana buku buku mkampa cashier.
ile mnataka kuondoka meneja wa cafe akamfokea cashier kuwa kawazidishia bill na mlitakiwa mlipe 2500/= sasa ile cashier anawarudishia jero chenchi mkagundua hamuwezi watu watatu kugawana jero kwahyo mkampa cashier 200/= halafu 300/= iliyobakia mkagawana mia mia.
Swali.
Wote mlirudishiwa 100/= baada ya kutoa buku kwahyo kila mmoja alispend 900/=
Kwahyo watatu mlispend 2700/=
Yule cashier mlimpa 200/=
Jumla 2900/=
ile shng. 100/= imeenda wapi?
 
Hilo la kitoto jaribu hili

Ulienda wewe na marafiki zako wawili jumla wa3 cafeteria kula.
Baada ya kula
Bill ikaja 3000/=
Mkachangishana buku buku mkampa cashier.
ile mnataka kuondoka meneja wa cafe akamfokea cashier kuwa kawazidishia bill na mlitakiwa mlipe 2500/= sasa ile cashier anawarudishia jero chenchi mkagundua hamuwezi watu watatu kugawana jero kwahyo mkampa cashier 200/= halafu 300/= iliyobakia mkagawana mia mia.
Swali.
Wote mlirudishiwa 100/= baada ya kutoa buku kwahyo kila mmoja alispend 900/=
Kwahyo watatu mlispend 2700/=
Yule cashier mlimpa 200/=
Jumla 2900/=
ile shng. 100/= imeenda wapi?
Hapa ndio unazidi kutuchanga labda tusubiri maelezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela halisi ni ile uloyotumia sio balance.

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Pesa yako taslimi ni ile iliyotumika(spend) hauwez ukajumlisha balance alafu mlinganyo ukakaa Sawa

Ukitaka kujua hilo, twende na mfano huu
Nilikua na 1000 nimetumia 100 imebak 900.
Alafu nikatumia 300 katika 900 imebak 600

Sasa nikijumlisha balance: 900+600=1500 kitu ambacho sio Sawa et nijiulize 500 imetoka wapi?


Najua hii awamu ya 5 sio mchezo, ila tutumie akil ya kawaida jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii shilingi kumi imetoka wapi tena?
Tafadhali tusaidieni.View attachment 1347334

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa majibu mepesi kabisa, in Maths hakuna formula ambayo inasema
expenditure = remaining balance. Unless unieleze formula hii umeitoa wapi,otherwise the two figures can never be equated.

Na kama kwa namna yoyote ile utataka kuitumia hiyo equation,basi maana yake ni kuwa:

ukitumia 300 balance itabaki 300
ukitumia 90 balance itabaki 90
na itaendelea kwa mtiririko huo hadi mwisho. Hapo ukicheki LHS = RHS.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la kitoto jaribu hili

Ulienda wewe na marafiki zako wawili jumla wa3 cafeteria kula.
Baada ya kula
Bill ikaja 3000/=
Mkachangishana buku buku mkampa cashier.
ile mnataka kuondoka meneja wa cafe akamfokea cashier kuwa kawazidishia bill na mlitakiwa mlipe 2500/= sasa ile cashier anawarudishia jero chenchi mkagundua hamuwezi watu watatu kugawana jero kwahyo mkampa cashier 200/= halafu 300/= iliyobakia mkagawana mia mia.
Swali.
Wote mlirudishiwa 100/= baada ya kutoa buku kwahyo kila mmoja alispend 900/=
Kwahyo watatu mlispend 2700/=
Yule cashier mlimpa 200/=
Jumla 2900/=
ile shng. 100/= imeenda wapi?
Unajichangaya mwenyewe.. Sh 2700 ni jumla ya pesa ya chakula na ile aliyopewa muhudumu.

- Jumla Sh 3000
- Ni kweli kila mmoja alitumia Sh 900
- Jmla ya matumizi = ( Sh 833 chakula + 67 mhudumu)×3
= Sh 2700

- Sh 3000 - Sh 2700 = Sh 300

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la kitoto jaribu hili

Ulienda wewe na marafiki zako wawili jumla wa3 cafeteria kula.
Baada ya kula
Bill ikaja 3000/=
Mkachangishana buku buku mkampa cashier.
ile mnataka kuondoka meneja wa cafe akamfokea cashier kuwa kawazidishia bill na mlitakiwa mlipe 2500/= sasa ile cashier anawarudishia jero chenchi mkagundua hamuwezi watu watatu kugawana jero kwahyo mkampa cashier 200/= halafu 300/= iliyobakia mkagawana mia mia.
Swali.
Wote mlirudishiwa 100/= baada ya kutoa buku kwahyo kila mmoja alispend 900/=
Kwahyo watatu mlispend 2700/=
Yule cashier mlimpa 200/=
Jumla 2900/=
ile shng. 100/= imeenda wapi?
Hiyo kila mmoja alispend 900 inahusisha pia hela aliyopewa cashier

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom