Nimejikita nashawishika na tangazo la gazeti la mwananchi la kudounload app ya QR-code kwa matarajio ya kupata habari kwa urahisi, nimejikuta si kweli, tatizo langu nataka ku anstore inagoma,,, naomba ujuzi niachane nayo
mkuu kazi ya hio app ni kuscan hizo qr code na kukuonyesha kilichomo na sio kukupa habari.
ulitakiwa udownload hio app kisha uende kwenye gazeti la mwananchi na kufungua ukurasa ulipoona hilo tangazo
kisha kwenye simu yako unafungua hio app na kuclick scan qr code halafu itafunguka camera, elekezea hio camera kwenye gazeti ingefunguka site ya mwananchi na kuzipata hizo habari.
kuitoa hio apps nenda homescreen ambapo apps zote zipo, itafute hio app kisha iguse kwa muda kama sekunde 2 bila kuiachia, utaona kwa juu linatokea neno uninstall, bila kuachia drag icon yake hadi kwenye hilo neno kisha achilia, utaweza kuitoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.