Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,015
- 9,731
Pole sana dada yangu...Mtoto amefariki alizaliwa na 4kgs
Nimenenepa sana ila nipo kwenye harakati za kujipunguza
4 kg ni kawaida si nyingi sana. My 1st and 3rd born walizaliwa na almost 4kg...
Sababu ya kifo ni nini?