Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,215
- 2,418
Hello wanajf,
Bado siku 1/2 hivi tukacheze duduke
Naombeni mnijuze ni sawa? Mimi ni mjamzito wa week 23 sasa ratiba yangu ya kula kila siku
Asubuhi mayai mawili nachemsha na viazi vitamu viwili na maziwa nusu lita, saa2 asubuhi
Saa4 lazima ninywe uji (unga nimeutengeneza mwenyewe
Mchana lazima ugali mrenda (bamia na nyanya Chung tu) na samaki wale wadogo wa mafungu
Saa12 nanasi zima au tikiti peke yangu, Au machungwa mawili
Saa2 usiku magimbi naweka nazi
Hiyo ni ratiba yangu ya kila siku ni LAZIMA, nikibadilisha labda nikipata mgeni/wageni ila nikiwa mwenyewe ndio ratiba yangu
Sasa ni sawa kwa mama k jamani? Au kuna vitu namnyima mtoto jamani? Nimejitahidi mboga zingine labda maharage tu na kuku basi, wali siupendi dagaa ndio sili kabisaa
Saa4 usiku nameza FEFO
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bado siku 1/2 hivi tukacheze duduke
Naombeni mnijuze ni sawa? Mimi ni mjamzito wa week 23 sasa ratiba yangu ya kula kila siku
Asubuhi mayai mawili nachemsha na viazi vitamu viwili na maziwa nusu lita, saa2 asubuhi
Saa4 lazima ninywe uji (unga nimeutengeneza mwenyewe
Mchana lazima ugali mrenda (bamia na nyanya Chung tu) na samaki wale wadogo wa mafungu
Saa12 nanasi zima au tikiti peke yangu, Au machungwa mawili
Saa2 usiku magimbi naweka nazi
Hiyo ni ratiba yangu ya kila siku ni LAZIMA, nikibadilisha labda nikipata mgeni/wageni ila nikiwa mwenyewe ndio ratiba yangu
Sasa ni sawa kwa mama k jamani? Au kuna vitu namnyima mtoto jamani? Nimejitahidi mboga zingine labda maharage tu na kuku basi, wali siupendi dagaa ndio sili kabisaa
Saa4 usiku nameza FEFO
Sent from my iPhone using JamiiForums