Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
Wakuu habari ya muda,
Niko mbioni kuzichanga na kununua canter ya tani mbili kwa ajili ya shughuli zangu za kibiashara, nikaperuzi bei mitandaoni. kilichonishangaza, canter ya 1998 4D33 engine, inakuja around 28 million, wakati canter ya 2014 4P10 deisel engine inakuja kwa 22 million. Nikasema niulize, hizi za 2014 ni kwamba ni kimeo au zikoje? Ni ipi nzuri na ipi haitosumbua? Ninaomba msaada wa ushauri wakuu.
Picha za muonekano wa nje naziattach hapa.
Natanguliza shukrani za dhati.
Niko mbioni kuzichanga na kununua canter ya tani mbili kwa ajili ya shughuli zangu za kibiashara, nikaperuzi bei mitandaoni. kilichonishangaza, canter ya 1998 4D33 engine, inakuja around 28 million, wakati canter ya 2014 4P10 deisel engine inakuja kwa 22 million. Nikasema niulize, hizi za 2014 ni kwamba ni kimeo au zikoje? Ni ipi nzuri na ipi haitosumbua? Ninaomba msaada wa ushauri wakuu.
Picha za muonekano wa nje naziattach hapa.
Natanguliza shukrani za dhati.