Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 6,997
- 13,608
Tujuze, utaanza na kete namba ngapi iwapo ni zamu yako kucheza na kete zako ni hizooo
Za
Njano
Za
Njano
unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba mbili hadi kwenye konakete ya kucheza ni no.2 hlf unakuja kucheza no.1(king) unairudisha nyuma(kamtego ili akijilenga urudishe ka kete kako kalikoliwa.
Hivi unajua iyo kete ya katikati ya 2 na 3 ni King?kete ya kucheza ni no.2 hlf unakuja kucheza no.1(king) unairudisha nyuma(kamtego ili akijilenga urudishe ka kete kako kalikoliwa.
Haya ya kwanza mstari wa pili toka chini umesema kete namba mbili?unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba mbili hadi kwenye kona
huku ukiacha kete namba 2 iliwe na ile kingi iliyokula kete namba 3 baada ya hapo ni zamu yako unakula king yake iliyokula kete zako mbili unapitia na king yake nyingine iliyoko mkabala na kete namba 4
sijakupata fresh mkuu hapaHaya ya kwanza mstari wa pili toka chini umesema kete namba mbili?
sijakupata fresh mkuu hapa
unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba (((((((mbili ))))))))))hadi kwenye kona
huku ukiacha kete namba 2 iliwe na ile kingi iliyokula kete namba 3 baada ya hapo ni zamu yako unakula king yake iliyokula kete zako mbili unapitia na king yake nyingine iliyoko mkabala na kete namba 4
nilimaanisha unavuta kete namba moja ambayo ni king huku ukiacha kete namba mbili nayo iliweHapo nimeweka mabano mkuu
unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba mbili hadi kwenye kona
huku ukiacha kete namba 2 iliwe na ile kingi iliyokula kete namba 3 baada ya hapo ni zamu yako unakula king yake iliyokula kete zako mbili unapitia na king yake nyingine iliyoko mkabala na kete namba 4
Panga kete ushashinda.unacheza kete namba moja(ambayo ni king) unaiweka nyuma ya kete namba mbili kisha yeye atalazimika kula kete namba 3 baada ya hapo unaivuta kete namba mbili hadi kwenye kona
huku ukiacha kete namba 2 iliwe na ile kingi iliyokula kete namba 3 baada ya hapo ni zamu yako unakula king yake iliyokula kete zako mbili unapitia na king yake nyingine iliyoko mkabala na kete namba 4