Je; Ni mila na desturi au ni Itifaki Au ni WOSIA wake uliopelekea Moi kuagwa bila kuwekwa kwenye jeneza?View attachment 1350704
hahah...tupo pamoja mkuu mm mwenyew picha ainionyeshiPicha hakuna au Ndy hii freebasics inanifanyia figisu
Haya ndo madhara ya kutumia vitochi 4g mnadanganywa ni smartphonePicha hakuna au Ndy hii freebasics inanifanyia figisu
Kweli?Jomo nae walimfanyia hivi
Itakuwa wameyapata huko US alikokutana na Trump