Unamaanisha huyu jamaa sio CDM?Baraza la Vijana halina vyeo kama hivyo. Ni wale wale Mamluki wa ADC na ACT
kumbe ndo maana unajipendekeza CDM pole kaka komaa na fani yako utakufa kwa stress kwenye siasa unachokiona sicho.Vijana acheni upuuzi wenu wa kisiasa.Wa aina yenu ndiyo mtakaofanya hata sisi tukitaka kuwa wanasiasa tusiaminike. Fanyeni kazi halali mpate kipato chenu.Acheni utumwa wa kifikra. Kwa mtu yeyote makini, ni rahisi kutambua kuwa Mwandishi wa Tamko hili ni yule yule wa lililopita.Wanabadilika wahusika na majina ya mikoa tu.
Sarakasi kama hizi zilifanywa kipindi cha kusimamishwa uongozi kwa Zitto Kabwe na zikashindwa.Hamchoki? Endeleeni kusambaza Matamko ya kizushi wakati wenye akili timamu wakiendelea kufaidi keki ya Taifa hili.Shame!
Fikiri vipi mkuu, lini nifuate kadi ya ACT? cha msingi ni TUMBO kwanza then mengine yanafuata!!!FIKIRI MIGIYO
………………………………
KATIBU WA BAVICHA MKOA GEITA
MJUMBE WA BARAZA KUU LA CHADEMA TAIFA
MJUMBE WA MKUTANO MKUU CHADEMA TAIFA
MJUMBE WA KAMATI TENDAJI BAVICHA TAIFA.
MWENYEKITI WA MAKATIBU WA MABARAZA YA KANDA YA ZIWA MAGHARIBI
MKUU WA REDBRIGADE KANDA YA ZIWA.
Nyie mnajichawia wenyewe halafu mnasingizia chama cha mapinduzi.Wana jamvi nimegundua hawa jamaa walio timuliwa toka vyama vya upinzani wanapiga pesa toka kwa magamba kwakutoa vimatamko uchwara ambavyo havina sumu kwa wakati huu ukawa imepamba moto;jamaa wanajikusanya nakupokea chao zen wanatoa matamko huku wakijitambulisha toka chadema,cuf au nccr jamaa kuhaha kwa ccm kujiokoa toka katika katiba mpya yenye mfumo wa serikali 3 ulio pendekezwa hivyo wasaliti wamegeuza mtaji wao kuvuma pesa waweke heshima baa pamoja na kutumia pesa za usaliti kujenga vyama vyao vichanga
Ingekuwa vizuri kweli hawa watu wangekuja hapa watupe uwakika ili tuamini ukweli wa hili jambo.
Fikiri Migiyo njoo huku ACT-TZ, chama makini mahsuusi kabisa kwa kupambana na Chadema.