Wadau,
Nimekuwa na hamu na shauku kwa muda mrefu kuwafahamu kwa majina na ikiwezekana kwa nyadhifa zao wajumbe wote wa kamati kuu ya CHADEMA, wachache ninaowafahamu ni Mtei, Bob makani, mbowe, zitto,kitila,marando,baregu,safari. Naomba mnitajie wengine
ili iweje thread zingine bana weka wa CCM kwanza unatuzingua bana for what?Wadau,
Nimekuwa na hamu na shauku kwa muda mrefu kuwafahamu kwa majina na ikiwezekana kwa nyadhifa zao wajumbe wote wa kamati kuu ya CHADEMA, wachache ninaowafahamu ni Mtei, Bob makani, mbowe, zitto,kitila,marando,baregu,safari. Naomba mnitajie wengine
Josephine Mshumbusi
"Wajumbe wa kamati wa Kamati Kuu ya Chadema"
<br />we mtani wangu wewe unamatatizo kichwani.