figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Baadhi ya Wajumbe wa baraza la wawakilishi Zanzibar, Wametaka Serikali ya Zanzibar kurudisha kibali cha kulewa ili kulinda Maadili yanayomomonyoka. Vilevile wamependekeza Bar zote na Madanguro yaliyo kwenye makazi ya watu yafungiwe.
Kwa upande mwingine Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameitaka Serikali ifike wakati na kuacha kuchukua mapato yanayotokana na biashara ya Baa na badala yake wabuni vyanzo vingine ikiwemo kufungua migahawa.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi waliohudhuria katika kikao cha Baraza hilo kilichoanza leo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.
Kwa upande mwingine Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wameitaka Serikali ifike wakati na kuacha kuchukua mapato yanayotokana na biashara ya Baa na badala yake wabuni vyanzo vingine ikiwemo kufungua migahawa.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi waliohudhuria katika kikao cha Baraza hilo kilichoanza leo Mbweni nje ya mji wa Zanzibar.