Wajumbe wa Baraza Kuu la Taifa CUF na Wilfred Lwakatare waiteka Tanga

Hata kwa ku zoom picture, bado naona ni idadi ndogo ya walio hudhuria. Au unamaanisha wameiteka vipi hiyo tanga?
 
Kwao amekosa watu kama Lipumba na Tabora itakuwa Tanga ? tafta kazi nyingine ya kufanya siasa imeshindikana msilazimishe
 
Ameshindwa Bukoba ndiko kwao,Tanga jee?
 

Attachments

  • 2368793_2024173_IMG_20190329_072747_1.jpeg
    2368793_2024173_IMG_20190329_072747_1.jpeg
    16.4 KB · Views: 1
Chadema ndio tishio manake hata ukileta habari ya CUR kitajibiwa Chadema.
 
Back
Top Bottom