Gazeti la Mwananchi leo limeripoti masikitiko makubwa na mshituko alioupata Katibu Mkuu wa CDM Wilberd Slaa kususiwa na zaidi ya nusu ya wajumbe wa Mkutano Mkuu Jimbo la Kinondoni ktk mkutano mkuu.
Mpaka sasa haijulikani sababu ya ususiaji huo ila wachunguzi na watafiti wa masuala ya siasa wanadai kuwa huenda hiyo ikawa ni dalili ya wanachama wa CDM kupoteza imani na Katibu wao ambae ushawishi wake kwa chama chao unazidi kupungua!
Habari kamili kuhusu mgomo huo gonga hapa:
Mahudhurio ya wajumbe yamkatisha yamaa Dk Slaa - Siasa - mwananchi.co.tz
Mpaka sasa haijulikani sababu ya ususiaji huo ila wachunguzi na watafiti wa masuala ya siasa wanadai kuwa huenda hiyo ikawa ni dalili ya wanachama wa CDM kupoteza imani na Katibu wao ambae ushawishi wake kwa chama chao unazidi kupungua!
Habari kamili kuhusu mgomo huo gonga hapa:
Mahudhurio ya wajumbe yamkatisha yamaa Dk Slaa - Siasa - mwananchi.co.tz