African Believer
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 436
- 425
Mkutano uliokua uwakutanishe viongozi wa Marekani na Korea ya Kaskazi na baadaye kufutwa na raisi Trump umerejea tena ambapo wajumbe kutoka marekani wamewasili Korea ya Kaskazini kwa ajili ya maandalizi ya mkutano wa kilele kati ya Raisi wa Marekani, Donald Trump na mwenzake wa Korea Kim Jong Un.
Hayo yameripotiwa kupitia akaunti rasmi ya Twitter ya raisi wa Marekani Donald Trump.....
Hayo yameripotiwa kupitia akaunti rasmi ya Twitter ya raisi wa Marekani Donald Trump.....