Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wajumbe 38 wa vyama vya siasa wakutana kujadili mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za kusajili vyama vya siasa, Naibu katibu mkuu wa Chadema Zanzibar Salum Mwalimu asema hawakubaliani na utaratibu wa sheria zilizopo sasa.