Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Wadau; leo sina maneno mengi. Kifupi tu ni kwamba mzalendo yeyote katika nchi ya kidemokrasia awe ni kiongozi au raia, huwa na mtiririko wa kimawazo na kiutendaji unaofua pyramid hiyo hapo chini.Ni jukumu letu kila mtu kujitahidi kuifuata ili awe mzalendo wa kweli
View attachment 128169
Mtu ambaye kakosa uzalendo katika nchi ya kidemokrasia, huipindua pyramid hiyo hapo juu na kuonekana chini juu kama inavyoonekana hapo chini;
View attachment 128172
Wanao fuata mtiririko wa pyramid ya chini na wabadilike kuhamia pyramid ya juu hapo mara moja ikiwa kweli ni wazalendo.
MCHANA MWEMA.
View attachment 128169
Mtu ambaye kakosa uzalendo katika nchi ya kidemokrasia, huipindua pyramid hiyo hapo juu na kuonekana chini juu kama inavyoonekana hapo chini;
View attachment 128172
Wanao fuata mtiririko wa pyramid ya chini na wabadilike kuhamia pyramid ya juu hapo mara moja ikiwa kweli ni wazalendo.
MCHANA MWEMA.