Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
Wanaume wavaa suruali chini ya tako walianzia kwenye jela za Marekani ambako wafungwa waliokuwa tayari kufanya mapenzi na wafungwa wenzao walibuni huo mvao kama ishara kwa wahitaji (wafungwa wenzao) ambapo ingeonekana bila kutambuliwa na walinzi wa gereza ili wasipate kugundulika.
Kwa kuonyesha sehemu ya matako yao, walimaanisha kwamba walikuwa tayari kuingiliwa na wafungwa wenzao kinyume na maumbile. Na waliingiliwa haswaa.
Kwa hapa Tanzania sijui ni nani aliyeasisi huo uvaaji, Ila watanzania wengi wanapenda sana kuwaiga wamarekani.
Kwa hapa nchini ukiona mwanaume amevaa suruali chini ya tako sikulazimishi uamini kuwa huyo ni shoga anayetafuta bwana wa kumwingilia.
Tambua tu mashoga wapo ndani ya nchi yetu na wanazidi kuongezeka sana Tanzania.
Mungu okoa wanaume wa Tanzania.
Kwa kuonyesha sehemu ya matako yao, walimaanisha kwamba walikuwa tayari kuingiliwa na wafungwa wenzao kinyume na maumbile. Na waliingiliwa haswaa.
Kwa hapa Tanzania sijui ni nani aliyeasisi huo uvaaji, Ila watanzania wengi wanapenda sana kuwaiga wamarekani.
Kwa hapa nchini ukiona mwanaume amevaa suruali chini ya tako sikulazimishi uamini kuwa huyo ni shoga anayetafuta bwana wa kumwingilia.
Tambua tu mashoga wapo ndani ya nchi yetu na wanazidi kuongezeka sana Tanzania.
Mungu okoa wanaume wa Tanzania.