Wajue wagombea udiwani waCHADEMA kwenye kata 16 za kanda ya Kaskazini

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899


CHMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO – CHADEMA
KANDA YA KASKAZINI
(Tanga, Kilimanjaro, Arusha & Manyara)
TAARIFA KWA UMMA
WAGOMBEA WA UDIWANI - KANDA YA KASKAZINI

Tarehe 26 Oktoba 2017, wagombea wafuatao walipitishwa na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) kwa marudio ya uchaguzi mdogo katika maeneo ya kata mbalimbali zilizopo kwenye mikoa ya Kanda ya Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA.
Wagombea hawa wote wamepita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Aidha, chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA ambao wana dhamira njema sana na ya kweli katika kuwatumikia.
Jumla ya KATA zitakazokuwa na uchaguzi ni 16, Mkoa wa Tanga ukiwa na kata 3, Mkoa wa Kilimanjaro kata 4, Mkoa wa Arusha kata 8 na Mkoa wa Manyara kata 1.
Wagombea waliopitishwa pamoja na mikoa yao ni:

1
Arusha
Arusha Mjini
Muriet
Simon Moses Mollel


Monduli
Moita
Lobulu Lerango Kivuyo


Arumeru Magharibi
Musa
Eliud Loomon Laiser


Arumeru Mashariki
Ambureni
Dominick E. Mollel



Makiba
Joyce Ruto



Maroroni
Asanterabi Lazaro Mbise



Leguruki
Rabiel Fanuel Mbise



Ngabobo
Emmanuel Fanuel Salewa

2.
Kilimanjaro
Hai
Machame Magharibi
Elibariki Lema



Mnadani
Ezra John Nyari



Weruweru
Moses Josephat Kalaghe


Moshi Mjini
Bomambuzi
Heldaki Verelian Minde

3.
Tanga
Mlalo
Lunguza
Josia Shemeta


Bumbuli
Mamba
Jafari Ndege


Korogwe Mjini
Majengo
Abdalah Khalid Maonga

4.
Manyara
Hanang
Nangwa
Yohana Baha Dafi

Katika marudio ya uchaguzi huu CHADEMA imejipanga kushiriki kikamilifu sana tukiwa na uhakika kuwa chama kimewapa wananchi wapiga kura chaguo lao. Tumezingatia uwezo wa wagombea, utayari wa wagombea wetu kushirikiana na kuwatumikia wananchi na dhamira njema ya kutatua matatizo na kero za wananchi.
CHADEMA Kanda ya Kaskazini tunawakumbusha na kuwahamasisha wananchi kushiriki na kufuatilia kampeni na wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kurasiku ya tarehe 26 Novemba 2017, aidha tunalitaka jeshi la polisi lifanye kazi yake kwa weledi bila kuonekana linapendelea chama fulani, sambamba na wasimamizi wa uchaguzi (TUME) kusimamia uchaguzi kwa misingi ya HAKI. CHADEMA Kanda ya Kaskazini haitavumulia uhuni, jinai au matendo yoyote wakati wa kampeni na siku ya uchaguzi yatakayotendwa na YOYOTE kwa nia ya kuvuruga kampeni au kuharibu kile wananchi walichokiamua kupitia sanduku la kura.

Imetolewa leo tarehe 27 Oktoba 2017.
Amani Golugwa
Katibu wa Kanda ya Kaskazini

+255 754 912 914 au 0784 343 275
golugwa@gmail.com
 
Je hawanunuliki hawa mkuu??:...maana kama chama kina wagombea wanaonunulika ni dhahiri hata chama chenyewe chaweza nunulika
 


CHMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO – CHADEMA
KANDA YA KASKAZINI
(Tanga, Kilimanjaro, Arusha & Manyara)
TAARIFA KWA UMMA
WAGOMBEA WA UDIWANI - KANDA YA KASKAZINI

Tarehe 26 Oktoba 2017, wagombea wafuatao walipitishwa na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) kwa marudio ya uchaguzi mdogo katika maeneo ya kata mbalimbali zilizopo kwenye mikoa ya Kanda ya Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA.
Wagombea hawa wote wamepita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Aidha, chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA ambao wana dhamira njema sana na ya kweli katika kuwatumikia.
Jumla ya KATA zitakazokuwa na uchaguzi ni 16, Mkoa wa Tanga ukiwa na kata 3, Mkoa wa Kilimanjaro kata 4, Mkoa wa Arusha kata 8 na Mkoa wa Manyara kata 1.
Wagombea waliopitishwa pamoja na mikoa yao ni:

1
Arusha
Arusha Mjini
Muriet
Simon Moses Mollel


Monduli
Moita
Lobulu Lerango Kivuyo


Arumeru Magharibi
Musa
Eliud Loomon Laiser


Arumeru Mashariki
Ambureni
Dominick E. Mollel



Makiba
Joyce Ruto



Maroroni
Asanterabi Lazaro Mbise



Leguruki
Rabiel Fanuel Mbise



Ngabobo
Emmanuel Fanuel Salewa

2.
Kilimanjaro
Hai
Machame Magharibi
Elibariki Lema



Mnadani
Ezra John Nyari



Weruweru
Moses Josephat Kalaghe


Moshi Mjini
Bomambuzi
Heldaki Verelian Minde

3.
Tanga
Mlalo
Lunguza
Josia Shemeta


Bumbuli
Mamba
Jafari Ndege


Korogwe Mjini
Majengo
Abdalah Khalid Maonga

4.
Manyara
Hanang
Nangwa
Yohana Baha Dafi

Katika marudio ya uchaguzi huu CHADEMA imejipanga kushiriki kikamilifu sana tukiwa na uhakika kuwa chama kimewapa wananchi wapiga kura chaguo lao. Tumezingatia uwezo wa wagombea, utayari wa wagombea wetu kushirikiana na kuwatumikia wananchi na dhamira njema ya kutatua matatizo na kero za wananchi.
CHADEMA Kanda ya Kaskazini tunawakumbusha na kuwahamasisha wananchi kushiriki na kufuatilia kampeni na wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kurasiku ya tarehe 26 Novemba 2017, aidha tunalitaka jeshi la polisi lifanye kazi yake kwa weledi bila kuonekana linapendelea chama fulani, sambamba na wasimamizi wa uchaguzi (TUME) kusimamia uchaguzi kwa misingi ya HAKI. CHADEMA Kanda ya Kaskazini haitavumulia uhuni, jinai au matendo yoyote wakati wa kampeni na siku ya uchaguzi yatakayotendwa na YOYOTE kwa nia ya kuvuruga kampeni au kuharibu kile wananchi walichokiamua kupitia sanduku la kura.

Imetolewa leo tarehe 27 Oktoba 2017.
Amani Golugwa
Katibu wa Kanda ya Kaskazini

+255 754 912 914 au 0784 343 275
golugwa@gmail.com


CHMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO – CHADEMA
KANDA YA KASKAZINI
(Tanga, Kilimanjaro, Arusha & Manyara)
TAARIFA KWA UMMA
WAGOMBEA WA UDIWANI - KANDA YA KASKAZINI

Tarehe 26 Oktoba 2017, wagombea wafuatao walipitishwa na TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) kwa marudio ya uchaguzi mdogo katika maeneo ya kata mbalimbali zilizopo kwenye mikoa ya Kanda ya Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA.
Wagombea hawa wote wamepita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Aidha, chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA ambao wana dhamira njema sana na ya kweli katika kuwatumikia.
Jumla ya KATA zitakazokuwa na uchaguzi ni 16, Mkoa wa Tanga ukiwa na kata 3, Mkoa wa Kilimanjaro kata 4, Mkoa wa Arusha kata 8 na Mkoa wa Manyara kata 1.
Wagombea waliopitishwa pamoja na mikoa yao ni:

1
Arusha
Arusha Mjini
Muriet
Simon Moses Mollel


Monduli
Moita
Lobulu Lerango Kivuyo


Arumeru Magharibi
Musa
Eliud Loomon Laiser


Arumeru Mashariki
Ambureni
Dominick E. Mollel



Makiba
Joyce Ruto



Maroroni
Asanterabi Lazaro Mbise



Leguruki
Rabiel Fanuel Mbise



Ngabobo
Emmanuel Fanuel Salewa

2.
Kilimanjaro
Hai
Machame Magharibi
Elibariki Lema



Mnadani
Ezra John Nyari



Weruweru
Moses Josephat Kalaghe


Moshi Mjini
Bomambuzi
Heldaki Verelian Minde

3.
Tanga
Mlalo
Lunguza
Josia Shemeta


Bumbuli
Mamba
Jafari Ndege


Korogwe Mjini
Majengo
Abdalah Khalid Maonga

4.
Manyara
Hanang
Nangwa
Yohana Baha Dafi

Katika marudio ya uchaguzi huu CHADEMA imejipanga kushiriki kikamilifu sana tukiwa na uhakika kuwa chama kimewapa wananchi wapiga kura chaguo lao. Tumezingatia uwezo wa wagombea, utayari wa wagombea wetu kushirikiana na kuwatumikia wananchi na dhamira njema ya kutatua matatizo na kero za wananchi.
CHADEMA Kanda ya Kaskazini tunawakumbusha na kuwahamasisha wananchi kushiriki na kufuatilia kampeni na wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kurasiku ya tarehe 26 Novemba 2017, aidha tunalitaka jeshi la polisi lifanye kazi yake kwa weledi bila kuonekana linapendelea chama fulani, sambamba na wasimamizi wa uchaguzi (TUME) kusimamia uchaguzi kwa misingi ya HAKI. CHADEMA Kanda ya Kaskazini haitavumulia uhuni, jinai au matendo yoyote wakati wa kampeni na siku ya uchaguzi yatakayotendwa na YOYOTE kwa nia ya kuvuruga kampeni au kuharibu kile wananchi walichokiamua kupitia sanduku la kura.

Imetolewa leo tarehe 27 Oktoba 2017.
Amani Golugwa
Katibu wa Kanda ya Kaskazini

+255 754 912 914 au 0784 343 275
golugwa@gmail.com
Kushinda kwtu nilazma mungu atusimamie
 
Back
Top Bottom