Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
kwa muda wa miaka kumi nimekuwa nikifanya research kuhusu familia inayojulikana kwa jina la ROCKAFELLERS

kuna mada ililetwa humu kuhusu rothschild ilikuwa ni mada nzuri
na katika baadhi ya wachangiaji walisema kuwa familia ya kina rothschild imepoteza ubabe wao wa kipesa eti familia ya kina rothschild wanazidiwa na kina bill gates, warren buffet n.k

niliishia kucheka na ndicho kilinichonisukuma mie leo kuandika machache kuhusu familia hii ya kina rockafeller

rockafeller ni familia ambayo imekuwapo tangu enzi na enzi ndio msingi wa serikali ya marekani kuwepo pale
ubabe wa serikali ya marekani unatokana na uwezo wao hawa jamaa Rockerfeller

JOHN D ROCKERFELLER NDIO TAJIRI AMBAYE HAWA NINA BILL GATES UTAJIRI WAKE WATAKALIA KUUSIKIA TU

BILL GATES ANA LIKE 50 MILL BILLION USD ILA DID YOU KNOW THAT JOHN D ROCKAFELLER'S NET WORTH ILIKUWA $663.3 BILLION IN 2007 , ACCORDING TO LIST OF WEALTHIEST HISTORICAL FIGURES


huyu jamaa watu wanasema alifilisika , no hakufilisika ila pesa zake alianzisha miradi mbali mbali mikubwa CHINI YA SERIKALI YA MAREKANI

na hii ilikuwa ni kujipenyeza ili aweze kuwa na say katika serikali ya marekani

mpaka leo familia yake ndio familia yenye nguvu sana marekani na duniani kote, wao ndio wanachagua nani awe raisi, nani awe mkuu wa majeshi nani awe makamu wa raisi famlia ya rockerfeller wanaingiza pesa nyingi sana kila siku kwenye miradi mikubwa ya marekani ikiwamo mradi wao maarufu wa ROCKAFELLER CENTER

rockafeller center ni nini??

Ngoja nikuulize swali dogo?

ukiambiwa neno NEW YORK unafikiria nini

MAGHOROFA si ndio
hayo maghorofa ambayo asilimia kubwa yako yapo pale midtown midtown manhattan
sasa jamaa hawa wana majengo 19 katika midtown manhatan acres 22 kuanzia street ya 48 mpaka ya 51

820px-NYC_Top_of_the_Rock_Pano.jpg





kama hivyo ndivyo rockafeller center inavyoonekana

picha zingine hizi hapa

250px-GE_Building_by_David_Shankbone.JPG








220px-Rockefeller_under_construction.png






hapa ilivyokuwa inajengwa mwaka 1932


wao ndio wanamiliki vyuo vikuu maarufu vyote vya marekani kwa kupitia Rockafeller foundation


vyuo hivyo ni





vingine ni




  • Senior (and Junior) also created
    • Rockefeller University in 1901
    • General Education Board in 1902, which later (1923) evolved into the International Education Board
    • Rockefeller Sanitary Commission in 1910
    • Bureau of Social Hygiene in 1913 (Junior)
    • International Health Commission in 1913
    • China Medical Board in 1915.
    • Rockefeller Museum, Israel, 1925–30
    • In the 1920s, the International Education Board granted important fellowships to pathbreakers in modern mathematics, such as Stefan Banach, Bartel Leendert van der Waerden, and André Weil, which was a formative part of the gradual shift of world mathematics to the US over this period.
    • To help promote cooperation between physics and mathematics Rockefeller funds also supported the erection of the new Mathematical Institute at theUniversity of Göttingen between 1926 and 1929
    • The rise of probability and mathematical statistics owes much to the creation of the Institut Henri Poincaré in Paris, partly by the Rockefellers' finances, also around this time.[SUP][7[/SUP]
    • Junior was responsible for the creation and endowment of the Colonial Williamsburg Foundation, which operates the restored historical town at Williamsburg, Virginia, one of the most extensive historic restorations ever undertaken.


REAL ESTATE

HAPA NDIO PATAMU



The family was heavily involved in many real estate construction projects in the U.S. during the 20th century. Chief among them:

  • Rockefeller Center, a multi-building complex built at the start of the Depression in Midtown Manhattan, financed solely by the family
  • International House of New York, New York City, 1924 (Junior) {Involvement: John D. 3rd, Abby Aldrich, David & Peggy, David Jr., Abby O'Neill}
  • Wren Building, College of William and Mary's, Virginia, from 1927 (Renovation funded by Junior)
  • Colonial Williamsburg, Virginia, from 1927 onwards (Junior, Abby Aldrich, John D. 3rd and Winthrop), historical restoration
  • Museum of Modern Art, New York City, from 1929 (Abby Aldrich, Junior, Blanchette, Nelson, David, David Jr., Sharon Percy Rockefeller)
  • Riverside Church, New York City, 1930 (Junior)
  • The Cloisters, New York City, from 1934 (Junior)
  • The Interchurch Center, New York City, 1948 (Junior)
  • Asia Society (Asia House), New York City, 1956 (John D. 3rd)
  • One Chase Manhattan Plaza, New York City, 1961 (David)
  • Nelson A. Rockefeller Empire State Plaza, Albany, New York, 1962 (Nelson)
  • Lincoln Center, New York City, 1962 (John D. 3rd)
  • World Trade CenterTwin Towers, New York City, 1973-2001 (David and Nelson)
  • The Embarcadero Complex, San Francisco, 1974 (David)
  • Council of the Americas/Americas Society, New York City, 1985 (David)
  • In addition to this is Senior and Junior's involvement in seven major housing developments:
    • Forest Hill Estates, Cleveland, Ohio
    • City Housing Corporation's efforts, Sunnyside Gardens, Queens, New York City
    • Thomas Garden Apartments, The Bronx, New York City
    • Paul Lawrence Dunbar Housing, Harlem, New York City
    • Lavoisier Apartments, Manhattan, New York City
    • Van Tassel Apartments, Sleepy Hollow, New York (formerly North Tarrytown)
    • A development in Radburn, New Jersey
    • A further project involved David Rockefeller in a major middle-income housing development when he was elected in 1947 as chairman of Morningside Heights, Inc., in Manhattan by fourteen major institutions that were based in the area, including Columbia University. The result, in 1951, was the six-building apartment complex known as Morningside Gardens










ROCKEFELLER NDIO WAANZILISHI WA
Fed AU KWA JINA JINGINE NI FEDERAL RESERVE SYSTEM


FED NI NINI?

FED NI BANK SYSTEM YA MAREKANI AMBAYO NDIO INAYO CONTROL DOLLAR ILIYOANZISHWA MWAKA 1913 KAMA SIKOSEI

NA HII WALIKUJA NAO KIPINDI CHA GREAT DEPRESSION KWANI GD ILIKUWA INACHANGIA WAO UTAJIRI WAO KUSHUKA SO WAKAJA NA HII FED ILI WAWEZE KU CONTROL DOLLAR

WANA MSEMO UNOSEMA

WE CONTROL DOLLAR, WE CONTROL OUR WEALTH

252px-USDnotes.png



WOTE TUNAJUA KUWA WAO NDIO WENYE
WORLD TRADE CENTER NA

STORY ZINASEMA KUWA WAO NDIO WALIOIANGUSHA WORLD TRADE CENTER

WHY??

1 SWEET REVANGE
2. 1 SHOT TWO BIRDS


SWEET REVANGE

SWEET REVANGE NI KUWA WANA TAKE BACK THEIR OIL BUSINESS FROM ARABS KWANI KIPINDI KILE WAO ENZI ZA KINA JOHN D UTAJIRI WAKE MKUBWA ULIKUWA NI OIL

THEN ARABS WAKA TAKE OVER

SO WANAFANYA SWEET REVANGE WAKICHUKUA WALICHOIBIWA KUTOKA KWA BABU YAO JOHN D Oil


1 shot two birds

hii ni kuwa
they take back oil business kwa kuiba oil kutoka kwa arabs

na kufanikisha biashara yao ya silaha ambayo wame sign contract na serikali ya marekani


hao ndio ROCKAFELLER FAMILY FAMILIA MATAJIRI
ZAIDI MAREKANI NA DUNIANI KWA UJUMLA
 
Ebanaee hawa jamaa ni matajiri na daima watabaki kuwa matajiri vizazi na vizazi vyote vijavyo. Kwa investments hizo marekani wameishikilia wao na kwanyuma ya pazia pia dunia wameitawala wao. Kwenye ishu ya '' Sweet revange and 1 shot two birds '' nakubaliana nawe kabisa. Popote marekani inapopenya kiuchumi jua hawa jamaa wako nyuma
 
mwisho wa siku both the rockfella,rothchild and other western powerful families share the same agenda.that's to control the world and push and for a new world order.ila wakae wakijiua kuwa jamii/familia zenye nguvu za far east zinakuja kwa kasi ku-take over.
 
absolutely very intresting.... hii ya biashara ya oil ni ukweli mtupu
 
Kaka anatafuta maarifa we unaleta uswahili wako na u-freemason

We ndo unaleta uswahili,,umeelezewa na ukaridhika bila hata kuGoogle,,kama hadi wazungu wenyewe wameshawawekea doubt unashangaa mimi kuuliza?
 
We ndo unaleta uswahili,,umeelezewa na ukaridhika bila hata kuGoogle,,kama hadi wazungu wenyewe wameshawawekea doubt unashangaa mimi kuuliza?

hata kama ni miongoni mwao tatizo liko wapi? Katika maisha yangu mi sioni effect yeyote maana kapuku mie sitakuja kungiliana interest nao hata siku moja katika maisha yangu yote.

huu uwanja tunaokutania na kujadili haya pamoja na njia tunazotumia kufika hapa wanazimiliki wao, bora nitulize boli, nachapa kazi kasalary kakitoka peleka nyumbani tule ubwaubwa maharage na kumsikiliza diamond wa mbagalaaa..:whistle:
 
C.T.U

Hii list ni list gani hii?

BILL GATES ANA LIKE 50 MILL BILLION USD ILA DID YOU KNOW THAT JOHN D ROCKAFELLER'S NET WORTH ILIKUWA $663.3 BILLION IN 2007 , ACCORDING TO LIST OF WEALTHIEST HISTORICAL FIGURES
 
Last edited by a moderator:
Hawawezi kujenga makanisa kwa sababu wao ndio watakaomwandaa Ant Christ'

nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!
 
Under certain circumstances ambazo viumbe hawa wawili walizilazimisha,malaika na binadamu hujamiiana,lakini ifahamike kuwa this is very abnormal and cursed stuff na kuna athari kubwa spiritual and physical kwa wote wawili lakini balaa kubwa ni hicho kinachotoka hapo!sijapata neno zuri la kiswahili kwa offspring hiyo zaidi ya neno JINI!binafsi nimewahi kuona majini at 100 meters from where i was standing kwa macho yangu usiku wa manane wakati wa tambiko milimani somewhere in this earth!uzoefu ule unanifanya nisipuuzie hata nukta ya mambo haya.kwenye biblia kuna kipande kimoja huwa kinapewa maana ndivyo sivyo.just read it and try to understand it literally wala usitie maono yako kichwani,MWANZO 6:1-8,"Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri,wakajitwalia wake wowote waliowachagua.BWANA akasema,Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele,kwa kuwa yeye naye ni nyama,basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.Nao Wanefili(nephilims)walikuwako duniani siku zile,tena,baada ya hayo,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu,wakazaa nao wana,hao ndio waliokuwa watu hodari zamani,watu wenye sifa.BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani,akahuzunika moyo.BWANA akasema,nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi,mwanadamu na mnyama,na kitambaacho na ndege wa angani,kwa maana naghairi kwamba nimewafanya.Lakini Nuhu akapata neema machoni pa BWANA."hawa wanaitwa WANA WA MUNGU ndio waanzilishi wa cursed bloodline ambayo 13 illuminati families including Rockefellers zinatokea!marehemu sheikh Yahya aliposema kuwa kuna viongozi wakubwa duniani ambao si binadamu kama wanavyoonekana,wengi tuliona ni riwaya za kishirikina.marehemu Hugo Chavez siku moja baada ya Bush kuhutubia UN pale New York,alisimama pale pale kwenye kibweta ili na yeye ahutubie akasema,"nasikia harufu,shetani alikuwa kasimama hapa jana",tunadhani watu hawa huwa wanaongea mafumbo lakini sometimes huwa wanamaanisha wanachokisema kwa kuwa na ufahamu ambao watu wengi hawana.leo hii kila kitu kinakuwa centralized electronically!bank accounts,IDs,health cards,insurance cards,hata wafanyabiashara hapa bongo wanaambiwa kujiandaa na electronic machines zitakazotrack kila transaction wanayofanya na kutuma habari moja kwa moja taarifa zao TRA na Benki kuu.dunia nzima revolution hii inaendelea taratibu.kuna siku data zako zote zitaunganishwa ndani ya ID moja tu ambayo utaitumia kila mahali hata hospitali ID hiyo itasema hadi ugonjwa unaokusumbua.iko pale Massachusets institute of technology ikiwa developed kwa siri!nzuri eti eeh?mwisho wa kubeba lundo la vitambulisho au sio?well,upande huo mtamu kweli,turudi upande wa pili,hiyo ID ni microchip ndogo saana itakayowekwa kwenye paji la uso wako kwa kuingizwa na sindano na ina uwezo wa kusoma mwili wako kwa kutumia electrical signals kwenye nerves za fahamu,ikatoa habari zako nje ya mwili.what they are working on now ni kuifanya chip hiyo kuweza kuziamuru electrical signal za nerves zako kwa commands toka kwenye computer nje ya mwili,why?!ili iweje?nani mfadhili na mwanahisa mkubwa wa Massachusets institute of technology?unamjua?...ROCKEFELLER FOUNDATION!ni zaidi ya uwajuavyo!iwe ni dini,historia,sayansi,utamaduni vyote vinatoa habari ya uwepo wa interaction hii ya binadamu na majini physically!but only serious researcher ndio hujua mambo haya!yanafichwa kwa vile yana umuhimu mkubwa kwa wanaoyaficha na wanaofichwa!ukienda India ukakuta mhindi kasimamisha sanamu ya jitu kubwa anaiabudu,usimcheke,muulize historia ya imani yake,ukija africa ukakuta watu wanaabudu miti mikubwa usishangae,muulize kwa nini?ukienda mapango ya Amboni ukakuta michoro ya helikopta wakati walioichora waliishi kabla ndege haijagunduliwa usishangae,TAFAKARI!
 
list of wealthiest historical figures

Hujajibu swali, that much is clear.

Imetolewa na nani? inapatikana wapi? ina authority gani?

List inayojulikana na kuwa quoted the most - rightly or wrongly- ni ya Forbes. Ambayo haijawahi kuripoti mtu kufikisha net worth ya 100 billion US dollars.

Huyu Rockefeller mwenye net worth ya dola bilioni 663 karipotiwa na list gani? Inaitwaje? Inapatikana wapi?

Na hizi dollar ni dollar gani?

Maana isije kuwa tunaongelea dollar za Zimbabwe hapa.
 
Back
Top Bottom