Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

Kweli Rockaffeler ndio miamba wa marekani japokuwa Tajiri kuliko wote duniani kwenye historia ya matajiri ni Mwafrica Mansa Mussa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Katika nyuzi kama hizi naona jinsi gani jf ilikuwa bora sana miaka ya hapo nyuma kabla ya 2017.

Hoja mara zote zimejibiwa kwa hoja pasipo kuwa na lugha za matusi wa kejeli, wachangiaji wametoa maoni kwa upana, walio kuwa wasomaji nao wameuliza maswali kwa weredi na hayo maswali yanaonyesha kweli watu walidhamiria kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee!Hii hatari!
Kuanzia dk ya 10 na sekunde 15 hadi dk ya 11 na sekunde 5 huyu shetani anasema;

"With our grow in control of the weather through HAARP and CHEMTRAILS we will scare the public into accepting our global protection agendas.
We will then phase into the GREAT CLEANSING WHICH MUST OCCUR TO RETURN THE GLOBAL POPULATION TO A MANAGEMENT WITH SCIENCE.

We reinforce the desired norm through advertising,creating a model for people to live up to,that is virtually impossible.
The result is an incomplete desperate individual seeking acceptance.

Through reality television gameshows we repeat the pattern of individual survival vs group survival.This breaks down the idea of community and breed individuals who seek only their self interests.
With the public that is constantly suspicious and scheming,we maintain the status quo of a divided population that never thinks to look up".......

akili zikizidi unageuka shetani sababu ya kutaka absolute powers!Ndio hiki sasa kinawakuta hawa illuminati.Wana mipango ya ajabu sana kutaka kuendeleza supremacy yao,ila hawajifunzi tu kuwa unapotaka kuwa na absolute powers over mwanadamu ndio unajitengenezea kaburi lako mwenyewe sababu unagusa "madhabahu" ya Mwamba mmoja mwenye viumbe vyake ambaye kamwe hatoruhusu uingie "patakatifu pa patakatifu"(absolute powers over human soul).

Throughout history inaonyesha wote waliotamani hili waliishia wapi!Bado hawa sasa!
Hawa jamaa wana mipango mikubwa inayoogopesha sana na hawa kina Rockefeller na Rothschilds ni vibaraka tu
Wale makonk wenyew familia 13 ni zile familia za Papal Bloodline

Sent using Jamii Forums mobile app
 
G'Depression ilitokea 1929-33, so ikiwa wao walianzisha hiyo FED 1913 kipindi ambacho hapakua na Depression yyte, does that means kulitokea Economic slump yyte b4 or maybe Economic recession yyte US which led them to take tht step?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yani kipindi hicho unasoma mpaka unasema mi duniani sijui kitu
Katika nyuzi kama hizi naona jinsi gani jf ilikuwa bora sana miaka ya hapo nyuma kabla ya 2017.

Hoja mara zote zimejibiwa kwa hoja pasipo kuwa na lugha za matusi wa kejeli, wachangiaji wametoa maoni kwa upana, walio kuwa wasomaji nao wameuliza maswali kwa weredi na hayo maswali yanaonyesha kweli watu walidhamiria kujifunza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
juve2012 Nimefuatilia kwa makini na nimechukua muda kufanya research kidogo mbona naona kama
tuko ukingoni sana mwa kuendelea na maisha haya? nisaidie hiki kipindi kinaitwa cha dhiki kuu mbona naona
haya ndio maandalizi yake ya juu sana ya kutonunua na kutouza? na je kipindi hiki cha dhiki kuu je watakatifu
watakuwepo duniani pia? au ndio kuwa watakuwa wamenyakuliwa? Please help me,nimekuwa na maswali mengi
kuliko majibu'

Unyakuo unakaribia, jiandae. Yote yaliyotabiriwa sasa yanatimia. Ni suala la muda tu. Sidhani kama itapita hata miaka 10-15 kuanzia sasa kabla ya unyakuo
 
Mkuu unajua mambo yanavyoendeshwa duniani ni ajabu sana

Kuna mwanajeshi mmoja mstaafu wa jeshi la Uingereza ambae baada ya kustaafu alikuwa ni boss wa kitengo kimoja MI6 na liwahi kwenda kwenye mkutano mmoja wa kuzungumzia amani na mustakabali wa dunia huko Copenhagen ambapo alikutana na watu wazito sana duniani

Ajenda iliyokuwa inazungumzwa huko ilimshangaza sana huyo jamaa na kupelekea kubaki mdomo wazi,walikuwa wanazungumzia kuhusiana na kuja kuwatoa mhanga watu wa China na watu wa mashariki ya kati

Walikuwa wanasema kwenye kikao hicho kuwa "Wazee" wa dunia walikuwa wamekubaliana na "Wakubwa" wa China kuwa watawezesha uchumi wa China kuwa imara lakini na wao watakubali kuja kuwatoa mhanga watu wao kwa hao wakubwa wa dunia kupeleka maradhi kule china,maradhi ya mlipuko kama mafua ya ndege n.k wakati muafaka utakapofika kitendo kitakachopelekea dunia kulazimisha kupatikana kwa suluhu ambayo itapelekea kusimikwa utawala wa serikali moja duniani

Ukiyaangalia maneno ya huyo jamaa unaweza kuona kama ni hadithi hivi lakini kwa mtu ambae anaweza kujiuliza maswali kama hayo uliyouliza hapo juu inaweza tu kuona kuwa kuna jambo haliko sawa katika uchumi wa China na inaonekana kama kuna kama jambo lisiloeleweka hivi

Dunia ndivyo ilivyo na kule China kuna Familia moja hivi ambayo kwa wale wanaofuatilia cospiracy theories watakuwa wanaijua,familia hii inadaiwa kuwa na nguvu sana kule china na inasemekana kuwa ndio waliohusika sana na uchumi wa nchi hiyo kufikia hapo ulipo kutokana na makubaliano waliyokubaliana na Illuminati na familia hiyo ni moja kati ya vizazi 13 vinavyoijenga Illuminati,kizazi hicho kinaitwa Li

Unaweza kujisomea hapa: The Li Bloodline

Kama unataka kujisomea vizazi vyote vinavyoijenga Illuminati gonga hapa: 13 Bloodlines of The Illuminati
Aisee mkuu Eiyer salute kwako 6 yrs later tumeona kwa macho
 
nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!
Shekhe anzisha uzi wakoo una mengi tujifunze zaidi , pia ahsante
 
Mkuu unajua mambo yanavyoendeshwa duniani ni ajabu sana

Kuna mwanajeshi mmoja mstaafu wa jeshi la Uingereza ambae baada ya kustaafu alikuwa ni boss wa kitengo kimoja MI6 na liwahi kwenda kwenye mkutano mmoja wa kuzungumzia amani na mustakabali wa dunia huko Copenhagen ambapo alikutana na watu wazito sana duniani

Ajenda iliyokuwa inazungumzwa huko ilimshangaza sana huyo jamaa na kupelekea kubaki mdomo wazi,walikuwa wanazungumzia kuhusiana na kuja kuwatoa mhanga watu wa China na watu wa mashariki ya kati

Walikuwa wanasema kwenye kikao hicho kuwa "Wazee" wa dunia walikuwa wamekubaliana na "Wakubwa" wa China kuwa watawezesha uchumi wa China kuwa imara lakini na wao watakubali kuja kuwatoa mhanga watu wao kwa hao wakubwa wa dunia kupeleka maradhi kule china,maradhi ya mlipuko kama mafua ya ndege n.k wakati muafaka utakapofika kitendo kitakachopelekea dunia kulazimisha kupatikana kwa suluhu ambayo itapelekea kusimikwa utawala wa serikali moja duniani

Ukiyaangalia maneno ya huyo jamaa unaweza kuona kama ni hadithi hivi lakini kwa mtu ambae anaweza kujiuliza maswali kama hayo uliyouliza hapo juu inaweza tu kuona kuwa kuna jambo haliko sawa katika uchumi wa China na inaonekana kama kuna kama jambo lisiloeleweka hivi

Dunia ndivyo ilivyo na kule China kuna Familia moja hivi ambayo kwa wale wanaofuatilia cospiracy theories watakuwa wanaijua,familia hii inadaiwa kuwa na nguvu sana kule china na inasemekana kuwa ndio waliohusika sana na uchumi wa nchi hiyo kufikia hapo ulipo kutokana na makubaliano waliyokubaliana na Illuminati na familia hiyo ni moja kati ya vizazi 13 vinavyoijenga Illuminati,kizazi hicho kinaitwa Li

Unaweza kujisomea hapa: The Li Bloodline

Kama unataka kujisomea vizazi vyote vinavyoijenga Illuminati gonga hapa: 13 Bloodlines of The Illuminati
.....
 
nasubiri kutukanwa kwa nitakalosema hapa lakini nitasema tu.wamejenga makanisa mengi sana.wamejenga seminari nyingi sana U.S wamejenga universities nyingi sana U.S.Wana taasisi nyingi zinazomilikiwa na taasisi nyingine zinazomilikiwa na nyingine..its a chain of organizations!wameiweka dini mikononi mwao ili kucontrol mafundisho yake yaendane na falsafa wanazotaka wao.hawa ndio Rockfellers,mojawapo ya familia 13 zinazounda supreme council ya illuminati inayotawala dunia yetu leo.familia nyingine ni Rothschild,Bundy,Kennedy,Russell,Astor,Collins,Du Pont,Freeman,Li,Onassis,Reynolds na Van Duyn.pia kuna watu huwa hawaorodheshwi hapa kutokana na structure ya network yao ilivyo lakini wako karibu sana na council of 13.hawa watu ni koo za kifalme za ulaya(U.K,HOLLAND,SPAIN ETC).jambo ambalo watu wengi hawajui ni kuwa koo hizi za kifalme za ulaya zote zina mahusiano ya damu na pia zina mahusiano ya damu na hizo familia hapo juu.baada ya council of 13,kuna council of 33 na baada ya council of 33 kuna council of 300.hizi council nyingine ni za watu wa kawaida matajiri akina Agnelli,Morgans,Carnegie,Warbug etc.sikumbuki kumuona Gates kwenye list hizi.hii council of 300
ndio ina-interact na akina sie na serikali zetu kupitia organizations mbalimbali zikiwemo za intellijensia,Kijamii,kidini na kisiasa kama U.N,AU,C.I.A,MOSSAD,KGB,M16,YMCA,LUCIS TRUST,BENKI,HOSPITALI,VIWANDA,SERIKALI ETC!nisingehangaishwa na uwepo wa watu hawa kama ishu ingekuwa wanataka madaraka na fedha tu!no,they want power!power in every sense!nguvu yote hata nguvu inayokufanya wewe na mie tupumue.kwa nini?asili yao inaeleza sababu.karibu hizo familia zote 13 zinatokana na asili ya binadamu wasio wa kawaida.hili ndilo giza nene lililoifunika dunia.tunadhani wote tuko sawa.no,nenda Misri eneo linaitwa Giza,katazame pyramids na miji ya zamani,nenda Mexico,katazame pyramids za kule(kuna hekalu moja kule limejengwa kwa pyramids nyingi zilizounganishwa kwa barabara na underground tunnels ambapo ukizichora tunnels hizo jinsi zinavyounganisha ramani ya hekalu hilo kwa ujumla ukatazama kwa juu yaani aerial view iko exactly mchoro wa microchip ya computer!).huko utakuta miji na mahekalu vilivyojengwa kwa very advanced technology ambayo leo tunastruggle kujifunza taratibu.ni nani aliyejenga na kuwapa watu hao wa zamani sayansi kubwa hivyo?nimegusia hayo kuonyesha kuwa hata katika dunia ya leo upo ushahidi wa kutosha kuprove jambo hili zito lisilosemwa sana,kwamba huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.hawa council of 13 ni binadamu waliotoka koo zenye asili ya damu ya nephilims walioanza kuingiliana na binadamu pale Babylon hadi leo.ndio hao akina Goliath,ndio wale titans wa Yeriko,ndio hawa leo tunawaita alliens!muhimu:the BIGGEST LIE ktk elimu yetu,ni kuaminishwa malaika hajamiiani!
Aisee!🤔
 
Mkuu tupe elimu hii Zaidi coz inausu maisha yetu moja kwa moja mwenye sikio na asikie..!!
Hivi Jf unaweza kuedit ukabadili jina la id yako?
Kama haiwezekani then nahitaji kujua huyu member mwenzetu aliwezaje kujiita "covid 19" back in 2014!(post namba 279)
Au mods ndio wamefanya yao ya kuunganisha multiple ids?!🤔
 
Mkuu unajua mambo yanavyoendeshwa duniani ni ajabu sana

Kuna mwanajeshi mmoja mstaafu wa jeshi la Uingereza ambae baada ya kustaafu alikuwa ni boss wa kitengo kimoja MI6 na liwahi kwenda kwenye mkutano mmoja wa kuzungumzia amani na mustakabali wa dunia huko Copenhagen ambapo alikutana na watu wazito sana duniani

Ajenda iliyokuwa inazungumzwa huko ilimshangaza sana huyo jamaa na kupelekea kubaki mdomo wazi,walikuwa wanazungumzia kuhusiana na kuja kuwatoa mhanga watu wa China na watu wa mashariki ya kati

Walikuwa wanasema kwenye kikao hicho kuwa "Wazee" wa dunia walikuwa wamekubaliana na "Wakubwa" wa China kuwa watawezesha uchumi wa China kuwa imara lakini na wao watakubali kuja kuwatoa mhanga watu wao kwa hao wakubwa wa dunia kupeleka maradhi kule china,maradhi ya mlipuko kama mafua ya ndege n.k wakati muafaka utakapofika kitendo kitakachopelekea dunia kulazimisha kupatikana kwa suluhu ambayo itapelekea kusimikwa utawala wa serikali moja duniani

Ukiyaangalia maneno ya huyo jamaa unaweza kuona kama ni hadithi hivi lakini kwa mtu ambae anaweza kujiuliza maswali kama hayo uliyouliza hapo juu inaweza tu kuona kuwa kuna jambo haliko sawa katika uchumi wa China na inaonekana kama kuna kama jambo lisiloeleweka hivi

Dunia ndivyo ilivyo na kule China kuna Familia moja hivi ambayo kwa wale wanaofuatilia cospiracy theories watakuwa wanaijua,familia hii inadaiwa kuwa na nguvu sana kule china na inasemekana kuwa ndio waliohusika sana na uchumi wa nchi hiyo kufikia hapo ulipo kutokana na makubaliano waliyokubaliana na Illuminati na familia hiyo ni moja kati ya vizazi 13 vinavyoijenga Illuminati,kizazi hicho kinaitwa Li

Unaweza kujisomea hapa: The Li Bloodline

Kama unataka kujisomea vizazi vyote vinavyoijenga Illuminati gonga hapa: 13 Bloodlines of The Illuminati
Duuuuuuh!kilichotokea 2019 watu mna taarifa nacho tangu 2014?!🤭🤔🥺
 
Back
Top Bottom