cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
pamoja na kuwa na wao wana kashfa zao lkn bwana elimu inawasaidia maana wengi wao wana spirit ya kijasiriamali ile mbaya!wanautumia vizuri majina yao kama brands,wengi wao wana vitega uchumi vya maana na wanamaisha mazuri.sio hawa wetu ukikuta ana kagari basi hata sehemu anayolala ni majonzi na hawa wetu wakipigika ni wanapigika maana elimu hana na hawezi kufanya kitu kingine zaidi ya kuigiza!kwanza watapigwa danadana na mapedeshee mpaka basi,yaani hawa wanaigiza ili apate soko basi hakuna lingine.