Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Teh teh teh....
Muulize tu mmoja wa wapwa atakupa full mkanda.
ha,ha,teh,teh...sipati picha kama kangekupa yale mambo yetu ungekuja kusema?hiyo si mzinga ni kuchuna buz
Teh teh teh....
Muulize tu mmoja wa wapwa atakupa full mkanda.
mwingine unakuta mvivu kujishughulisha hata ukimtuma kitu tu analalalamika mbaya, ukimpa michongo anaiponda but at the end of the day akikuona tu anakupiga mzinga na ukimnyima tu stories zinaanza ooh dogo mbaya,
ha,ha,teh,teh...sipati picha kama kangekupa yale mambo yetu ungekuja kusema?hiyo si mzinga ni kuchuna buz
huku pambanua hivi toka mwanzo,even though,umesha wai kuwaambia alafu ukaona kama wanarudi tena?je unadhani kuja kuwaanika hapa jf tena chtchat umesolve tatizo?pamoja na hayo jifunze kutoa kwa moyo mmoja sadaka si mpaka kanisan tu ama msikitini,mungu atakuongezea mara dufu pale ulipotoa kwa moyo mkunjufuTatizo nyinyi hamjakutana nao, mtu ana kipato kikubwa kuliko wewe na bado akikuona anakupiga mzinga, mwingine unakuta mvivu kujishughulisha hata ukimtuma kitu tu analalalamika mbaya, ukimpa michongo anaiponda but at the end of the day akikuona tu anakupiga mzinga na ukimnyima tu stories zinaanza ooh dogo mbaya, hayo mambo mi siyapend, ni bora utoe kwa mtu mzima au mshkaj unaejua jamaa mchakarikaji sema mishe tu zimemuendea vibaya
kaniudhi sana jamaa!hawa ndio wakiwa kivulini wanawasahau walio kwenye jua,kama we fisadi maisha yako ndio yatakua mazuri,na maisha mazur hayafichiki,kama unaonekana mambo safi razima tukuombe.yaani umeniboa kileta uhalo wako hapa chichat
Kanipe kwani nilikaomba mimi?
Mimi kisichana kikishaonyesha dalili ya uvivu na kupenda hela kwa wakati mmoja ni heri niende zangu Ambiance nikachukue dada poa.
Dah tukumbuke kuna kupanda na kushuka. Alokupa wewe ndo kamnyima yeye.. Ukitoa ndio unapata... Km unayo ni vyema kumpa. Kuna wengine wamezoea kuomba ila kama unahisi anashida mstiri nawe u neva know nani atakustiri
Wife njoo tulale. Mi nshavua....
BADILI TABIA ninachosema mimi kwa nin usimwambie direct?alafu kumbuka shida hazina tabia unaweza ukapiga mzinga hata mti chezeya shida wewe,alafu kuna emegency kama za kukutana mahala,kwanza ujue mpaka mtu anakuja kukulia shida ujue amekuthamin na kukuheshimu,haifai kutuponda tusiokuanavyo.
Kuna wengine wanaleta usista duu na kukandya kazi za maboksi huku hawana kazi. Lakini kila mara wanakupiga mizinga....ukiwaambia kwa nini usitafute hata kazi ya kuchoma chipsi anajifanya matawi ya juu...eti hataki.
Akiwa na shida ana kuja kwako kukuomba umsaidie...sasa unabaki unamshangaa. Kazi hataki, zingine anaziponda, lakini hachoki kuomba hela toka kwa hao wanaofanya hizo kazi anazoziponda yeye.
Watu kwa kulazimisha kuonekana matawi ya juu...shenzi kabisa.
point,i salute you
kwa raha zenu, mkimaliza round ya kwanza nawajojn for 3some! nimemiss!Wife njoo tulale. Mi nshavua....
Tayari, haya njoo pande hii.kwa raha zenu, mkimaliza round ya kwanza nawajojn for 3some! nimemiss!