Kazi kusaidiana
Anaosha ama anachafua? Hayo maji ni machafu balaa
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
makalio ya sufuria yatakuwa yamechafua ila anaonekana kama baba lishe siyo home hapo bana...
Inamaana ulipokua ujaoa nani alikua anafanya?inamaana mke wako kama anaumwa/mjamzito/amesafiri/ hautafanya?