kidonto
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 1,929
- 2,803
In short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...Kubatua maana yake nini?
99% Kubetua ni Utaperi!
Kama upo ndani ya deal Hafu unaambiwa maswala ya Kubetua.... KIMBIAAAAA.
Wapo really buyers out there, na hawana hizo mambo za Kubetua, hawana story mingi, wanapima mzigo wakiridhika wanatoa Pesa Cash, unaenda kufa mbele na mzigo wako.