Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Kubatua maana yake nini?
In short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...

99% Kubetua ni Utaperi!

Kama upo ndani ya deal Hafu unaambiwa maswala ya Kubetua.... KIMBIAAAAA.

Wapo really buyers out there, na hawana hizo mambo za Kubetua, hawana story mingi, wanapima mzigo wakiridhika wanatoa Pesa Cash, unaenda kufa mbele na mzigo wako.
 
In short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...

99% Kubetua ni Utaperi!

Kama upo ndani ya deal Hafu unaambiwa maswala ya Kubetua.... KIMBIAAAAA.

Wapo really buyers out there, na hawana hizo mambo za Kubetua, hawana story mingi, wanapima mzigo wakiridhika wanatoa Pesa Cash, unaenda kufa mbele na mzigo wako.
Ha ha poa aisee
 
In short Utaperi mkubwa unasikia mtu anasema sitaki kusikia habari hizo coz alishapoteza millions kadhaa.... Ni kuhusu Kubetua...

99% Kubetua ni Utaperi!

Kama upo ndani ya deal Hafu unaambiwa maswala ya Kubetua.... KIMBIAAAAA.

Wapo really buyers out there, na hawana hizo mambo za Kubetua, hawana story mingi, wanapima mzigo wakiridhika wanatoa Pesa Cash, unaenda kufa mbele na mzigo wako.
Tatizo connection ya kupata buyer asie na maswala mengi ni tatizo kubwa sana katika malikale
 
Mwanangu Venus Star umewahi kuhudhuria shughuli hata moja ya utafutaji wa hii kitu kaka? mimi nimewahi mkuu. Bagamoyo kuna sehemu moja inaitwa kimange tumeenda hapo kaka. Mimi nilifika siku ya tatu baada ya shughuli kuanza, ilikuwa ni kazi ya siku 5 kufukua ardhini walikuwepo pia wazee 2 wa Kijiji. Mambo yaliotokea hapo sitokaa nisahau kaka. Ipo siku nitaweka uzi hapa. Lakini kwa ufupi nilijifunza mengi.
Kimange napafahamu.. ni sehem gani hasa? Pongwe au..
 
Wapo.... Lazima uchukue muda kutafuta Connection...
Ni ngumu kukutana na buyer kama Huna kitu mkononi.
Nilishakua nacho na ikashindikana kwa ajili ya ubabaishaji vitu vipo ni mimi kwenda kuchukua lakini kwa nilivyoona nilipojaribu kutafuta buyer kwa chombo husika usanii na kutaka kuingizana mjinj ndio maana nimefanya kama nimesahau kwa muda sasa kuhangaika na hivyo vitu,wazo langu litaamia kwenye madini tu nikijua utaratibu wa serikali uko vipi na ntanufaika basi.
 
Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya Tanzania.
View attachment 1022278

Wakati wa utawala wa wajerumani kulikuwa na fedha ambazo zilikuwa zikitumiaka.
Heller na Rupee zilikuwa zikitumiaka. Coin hizo zilikuwa na madini mengi sana tofauti na coin za sasa.
Kwa mfano 1 Heller kwa sasa inauzwa kwa $900 - $1000.
View attachment 1022271

View attachment 1022276

Kwenye vita vya kwanza vya dunia wajerumani walizichimbia hizo mali sehemu mbalimbali kwenye ardhi ya Tanzania kwa ustadi mkubwa.

Katika tafiti nilizozifanya mpaka hivi leo. Maeneo yafuatayo na mengine mengi ndiko zilipogichwa mali hizo. Inatakiwa kujua sasa ni eneo gani masanduku yenye mali yalichimbiwa:-

  1. Ikombe
  2. Mibirizi
  3. Kasanga
  4. Ilembule
  5. Rombo
  6. Nyakanazi
  7. Uvinza
  8. Mlalo
  9. Kisarawe
  10. Kazimzumbwi
  11. Kirondatal
  12. Tukuyu
  13. Leganga
  14. Igulwa
  15. Ushetu
  16. Mnazi
  17. Mikese
  18. Shume
  19. Lumbira
  20. Mbulu
  21. Nansio
  22. Sekenke
  23. Galula
  24. Liuli
  25. Manda
  26. Lushoto
Hizi ni sehemu kadhaa zinazohitajika utafiti wa kina ili kujua ni sehemu zipi mali hizo zilifichwa.

Asanteni
Hii biashara imewafirisi watu na kuwa maskini wa kutupwa. Na sijamwona mtu aliyetajirika kwa biashara ya vitu vya kijerumani.

Mwisho ! Kwa nini ni sharti ushiriki katika ushirikina ?
 
Hii biashara imewafirisi watu na kuwa maskini wa kutupwa. Na sijamwona mtu aliyetajirika kwa biashara ya vitu vya kijerumani.

Mwisho ! Kwa nini ni sharti ushiriki katika ushirikina ?
hakuna shart la kushiriki kwenye ushirikina ila ukikutana na tapeli ndiyo utaingia huko
 
Nilishakua nacho na ikashindikana kwa ajili ya ubabaishaji vitu vipo ni mimi kwenda kuchukua lakini kwa nilivyoona nilipojaribu kutafuta buyer kwa chombo husika usanii na kutaka kuingizana mjinj ndio maana nimefanya kama nimesahau kwa muda sasa kuhangaika na hivyo vitu,wazo langu litaamia kwenye madini tu nikijua utaratibu wa serikali uko vipi na ntanufaika basi.
ulikosa kwa kuwa hawakuwa na vibali vya kufanya hayo mambo na lazima walijificha na ukiangalia nilikwambia ni mmoja tu mwenye uwakala wa kulipa haya maswala ya mali kale Tz na yupo DSM peke
 
ulikosa kwa kuwa hawakuwa na vibali vya kufanya hayo mambo na lazima walijificha na ukiangalia nilikwambia ni mmoja tu mwenye uwakala wa kulipa haya maswala ya mali kale Tz na yupo DSM peke
Mlipaji ni mmoja tu kwa Tz nzima
 
Nilishakua nacho na ikashindikana kwa ajili ya ubabaishaji vitu vipo ni mimi kwenda kuchukua lakini kwa nilivyoona nilipojaribu kutafuta buyer kwa chombo husika usanii na kutaka kuingizana mjinj ndio maana nimefanya kama nimesahau kwa muda sasa kuhangaika na hivyo vitu,wazo langu litaamia kwenye madini tu nikijua utaratibu wa serikali uko vipi na ntanufaika basi.
Pole Mkuu!
Buyers wazuri ni wa Israel, na Sasa kutokana na Changamoto ya Utaperi, baadhi wapo tayari kukufata pale ulipo na kufanya Biashara huko huko, Ila wanapendekeza angalau uwe na Vitu 2 au 3.

Pia huwa interesting kukufata ulipo kama wakijua May be Serikali ya Kijiji inahusika pia kwenye hivyo Vitu n. K

Believe me, really buyers wapo!
 
ulikosa kwa kuwa hawakuwa na vibali vya kufanya hayo mambo na lazima walijificha na ukiangalia nilikwambia ni mmoja tu mwenye uwakala wa kulipa haya maswala ya mali kale Tz na yupo DSM peke
Unazungumzia Cawovico?
 
Pole Mkuu!
Buyers wazuri ni wa Israel, na Sasa kutokana na Changamoto ya Utaperi, baadhi wapo tayari kukufata pale ulipo na kufanya Biashara huko huko, Ila wanapendekeza angalau uwe na Vitu 2 au 3.

Pia huwa interesting kukufata ulipo kama wakijua May be Serikali ya Kijiji inahusika pia kwenye hivyo Vitu n. K

Believe me, really buyers wapo!
Mimi nna site kamili ina vitu vingi kuwa na viwili ama vitatu si tatizo,tatizo utapeli na tamaa sana kwa walio wengi nilishaonywa kwa watu wengi kuwa hawana nia nzuri mwisho imenikatisha pia tamaa nikatulia na kuendelea na ishu nyingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom