Wajerumani Walificha Mali Nyingi Kwenye Ardhi ya Tanzania

Hii mada nakimbuka babu alikiaga anatuambia wajerumani wameficha pipa la hela shambani... **** siku mabinamu wakibwa wakawa wanaplan kufukua shamba sema hawajui location. Hiwa wanasema kuna alama zinaelekeza. Wao wanazijua. Sema wakatishiana hizo mali zina majini
 
Hii mada nakimbuka babu alikiaga anatuambia wajerumani wameficha pipa la hela shambani... **** siku mabinamu wakibwa wakawa wanaplan kufukua shamba sema hawajui location. Hiwa wanasema kuna alama zinaelekeza. Wao wanazijua. Sema wakatishiana hizo mali zina majini
Yes ulinzi waliotumia ni nafsi na roho chafu
 
uliirudisha kwa kukosa wa kuichukua au ilirudi yenyewe ukiwa safarini baada ya kupewa?
Wale waliokuja kukagua ili aje anaehitaji kuichukua walikuja na madawa ya kutaka kuchukua mzigo kisha kuondoka nao bila sisi kugundua (walitaka kutapeli kwa uweso walio nao) item iligoma mara tatu kutoka sehemu ilipofikia mwisho ikatoweka kurudi ilipotoka.

Sent from my Infinix X573S using JamiiForums mobile app
 
Wale waliokuja kukagua ili aje anaehitaji kuichukua walikuja na madawa ya kutaka kuchukua mzigo kisha kuondoka nao bila sisi kugundua (walitaka kutapeli kwa uweso walio nao) item iligoma mara tatu kutoka sehemu ilipofikia mwisho ikatoweka kurudi ilipotoka.

Sent from my Infinix X573S using JamiiForums mobile app
Yes hapo siyo kwamba labda walitaka kuichukua kwa kuiba tu,ina wezekana pia akawa hana haja ya kuiba lakini siyo miongoni mwa waliotunukiwa kufika mwisho kwenye mali hizo.
 
Karibu mkuu
Ahsante sana Barjun na wanajamvi wengine waliochangia, nimesoma page ya kwanza hadi mwisho wa uzi huu, kuna kitu kipya nimejifunza.
na kama ni Holy Bilble basi mpaka nilipofikia ni DIBAJI/PREFACE tu.... hata page yakwanza hatujaanza:)
 
sawa hizo ni bei za ebay na kwengine
zile wao wanauza hivyo kwakuwa ni vitu viliyotumika miaka mingi kwahiyo ni kama kumbukumbu ...
na ukumbuke kuwa ninavyozungumzia ni vile ilivyotengenezwa kwa ile extra Power
1.Rupia Nyekundu yenye simba 2
2.Funfu mark
3.Pasi
4.Jiko
5.Rupia yenye umbo la kitumbua
Hivi vyote vina hali ya kuwa kama na Spirit ndiyo maana zipo na ofer kubwa
na siyo hizo uonazo wewe ebay
inasemekana zile ambazo was minted in tanganyika.ndio zina mazegere.ila kuzipata sasa imebak kuwa tu watu fulan walikuja wakakaa sehem wakatoa masanduku ila huwa haina utibitisho.naskia ile yenye mmoja ina tabia ya kuita watu kila mwaka kama mkiipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na watu wengi wanaofatilia hizi mali za wajerumani, wanaishia kuwa kama machizi, sijui wanakosea masharti?? na wakirudi wanakuambia hali ngumu sanaa!! wachache wamefanikiwa!!
......
Barjun hizi Pasi zenyewe zikoje?? maana kuna jamaa huko geita ,mfuasi mzuri sanaa wa kutafuta hizi mali,ndugu wameshauri mno,lakini jamaa mbishi, katumia almost 10 years ,searching for HAZINA YA MJERUMANI!! one day alirudi na Pasi, ndo kama wadau walivyochangia hapo juu, ukiipata hiyo mali wanunuzi wote wanayeyuka,anakumbia flani ndo ananunua, ukimfata naye anasema flani alinielekeza,mwishowe pasi ikakosa mteja. Sasa sifa za hii pasi, ni model ya pasi za mkaa, ila sasa yenyewe haihitaji huo mkaa wa moto, yenyewe inanyoosha nguo automatically bila kuweka/kutia mkaa wa moto, Kinachotakiwa ni wewe tu uiongoze/uishikilie upigapo pasi. Maajabu mengine ya hii pasi ni kuwa inahama, leo ukiiacha sebuleni kesho unaikuta chumbani, siku nyingine unaikuta jikoni. ukihitaji kuitumia yaani shwari kabisa unanyoosha nguo. Balaa lingine ya hii pasi ni kuwa ilianza kuua(kwa mujibu ya wataalamu wa jadi) kila baada ya miezi kadhaa mwanafamilia anafariki, ndani ya miezi 10 tokea pasi iwepo nyumbani walifariki watoto wawili na mtu mzima mmoja!! mtaalamu wa jadi(mganga) alipofuatwa ,akasema ile pasi aliyoileta ndugu yenu ndo sababu ya vifo!! hivyo kikao cha familia kikaitishwa ,Jamaa akaamuliwa na wazee airudshe hiyo pasi alikoitoa, Jamaa akatii, akasafiri kurudi kwenye hizo area zenye code walikoichimbua hiyo pasi, akairudsha, Akarudi hom, sasa jamaa akili zake ni kama zimeyumba hivi, wanafamilia wakampatia mashamba alime, na aoe,akapigwa marufuku na wazee ,asifuatlie hazina tena!!!
●●●●●●●●
Katika stori, kujionea pia, watu watafuta mali hizi, wale ambao wana ajira za kudumu,ama wana pesa zao tayari, wakiwa wanatafuta hazina hizi HAWAHARIBIKIWI/AKILI ZAO HAZIYUMBI/HAWAWEHUKI , lakini ambao hawana pesa,hawana plan B za maisha, hawana vipato vingne, Wakirudi toka kwenye hizo coded Areas huwa wamewehuka ,au akili zao si sawa na walizoondoka nazo. lkn mabwana wenye pesa hapo juu,hata kama hakurudi na chochote still anakuwa yuko mentally fit,
,I don't know the mechanism behind the scene!!!
 
ziliZzotengenezewa hapa tanganyika ndio kama zina mauzauza hiv ndio naskia.na wenyewe wanapenda ya simba mbili .mkipata utajir kwa ya simba moja mna dead wote mmoja mmoja.yule simba anakua anawaita

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hivi wanao kuwa wanakufa ni kwa staili hii wanita kubatua
kwa kuwa watu wanakutana na utapeli nauongo mwingi wakikipata chombo halisi wanaanza kukifanyia kama Ibada na huwa katika hatua zile kikisha kubali basi anakuja kabisa CAESAR na unazungumza nae peer to peer saa Mpaka hapo tayari utakuwa umeitaka Pesa kwa Msaaada wa Shetani mwenyewe na kile chombo Kitapotea na kitakachobaki hapo ni Mzigo wa Pesa nyingi tu lakini sasa hauto weza kuambiwa uchukue Mpaka uanze kuambiwa Maswala ya Kutoa na wewe hela kwa ajili ya Kukombolea Hiyo ya Kwako na ukumbuke Mkifanya hii kitu lazima muishi kwa masharti kwenye Matumzi ya Pesa zenu na Mmmoja kati ya Washiriki akikosea Pointi Basi inaanza Kuua mmoja baada ya Mwingine Mpaka idadi iishe.
Na hakuna Sarafu iliyotengenezwa Tanganyika yenye Mauzauza Hapo ni uganaga tu na mazingaombwe anjua Unazungumzia zenye herufi A-ikimaanisha Arusha,T-Tabora,M-Musoma .... ambazo ni Hot Cake huwa na Herufi Moja kati ya J-Jerumani au G-German
 
na watu wengi wanaofatilia hizi mali za wajerumani, wanaishia kuwa kama machizi, sijui wanakosea masharti?? na wakirudi wanakuambia hali ngumu sanaa!! wachache wamefanikiwa!!
......
Barjun hizi Pasi zenyewe zikoje?? maana kuna jamaa huko geita ,mfuasi mzuri sanaa wa kutafuta hizi mali,ndugu wameshauri mno,lakini jamaa mbishi, katumia almost 10 years ,searching for HAZINA YA MJERUMANI!! one day alirudi na Pasi, ndo kama wadau walivyochangia hapo juu, ukiipata hiyo mali wanunuzi wote wanayeyuka,anakumbia flani ndo ananunua, ukimfata naye anasema flani alinielekeza,mwishowe pasi ikakosa mteja. Sasa sifa za hii pasi, ni model ya pasi za mkaa, ila sasa yenyewe haihitaji huo mkaa wa moto, yenyewe inanyoosha nguo automatically bila kuweka/kutia mkaa wa moto, Kinachotakiwa ni wewe tu uiongoze/uishikilie upigapo pasi. Maajabu mengine ya hii pasi ni kuwa inahama, leo ukiiacha sebuleni kesho unaikuta chumbani, siku nyingine unaikuta jikoni. ukihitaji kuitumia yaani shwari kabisa unanyoosha nguo. Balaa lingine ya hii pasi ni kuwa ilianza kuua(kwa mujibu ya wataalamu wa jadi) kila baada ya miezi kadhaa mwanafamilia anafariki, ndani ya miezi 10 tokea pasi iwepo nyumbani walifariki watoto wawili na mtu mzima mmoja!! mtaalamu wa jadi(mganga) alipofuatwa ,akasema ile pasi aliyoileta ndugu yenu ndo sababu ya vifo!! hivyo kikao cha familia kikaitishwa ,Jamaa akaamuliwa na wazee airudshe hiyo pasi alikoitoa, Jamaa akatii, akasafiri kurudi kwenye hizo area zenye code walikoichimbua hiyo pasi, akairudsha, Akarudi hom, sasa jamaa akili zake ni kama zimeyumba hivi, wanafamilia wakampatia mashamba alime, na aoe,akapigwa marufuku na wazee ,asifuatlie hazina tena!!!
●●●●●●●●
Katika stori, kujionea pia, watu watafuta mali hizi, wale ambao wana ajira za kudumu,ama wana pesa zao tayari, wakiwa wanatafuta hazina hizi HAWAHARIBIKIWI/AKILI ZAO HAZIYUMBI/HAWAWEHUKI , lakini ambao hawana pesa,hawana plan B za maisha, hawana vipato vingne, Wakirudi toka kwenye hizo coded Areas huwa wamewehuka ,au akili zao si sawa na walizoondoka nazo. lkn mabwana wenye pesa hapo juu,hata kama hakurudi na chochote still anakuwa yuko mentally fit,
,I don't know the mechanism behind the scene!!!
Njaa ndiyo Husumbua watu na kutokuwa na uhakika na Jambo walifanyalo,,,,Kuyeyuka kwa Mteja Huja Hivi kuna wazungu wengi wanaingia Mwezi wa3 na 9 huwa wakiwa kwenye Mahoteli wanatangaza order kuwa anahitaji kitu Fulani ,,sasa akimwambia yule wa kwanza nae anatoa Order inaenda hivyo Mpaka inafika kwa mtu wa kumi+ kile kitu kikipatikana unakuta Ni mwaka sasa na yule Tourist alikaa Miezi 3 na alishaondoka kwahiyo usumbufua unaanzia hapo mpaka kukusanyana Kufika Mjini wakifika kwa Mtu wa kwanza nae alishaachwa na Mzungu muda mrefu na uongo huanza kuonekana hapo na ndiyo Maana wengi husema kuwa Hakuna Mchukuaji wa vitu Hivi...
 
na watu wengi wanaofatilia hizi mali za wajerumani, wanaishia kuwa kama machizi, sijui wanakosea masharti?? na wakirudi wanakuambia hali ngumu sanaa!! wachache wamefanikiwa!!
......
Barjun hizi Pasi zenyewe zikoje?? maana kuna jamaa huko geita ,mfuasi mzuri sanaa wa kutafuta hizi mali,ndugu wameshauri mno,lakini jamaa mbishi, katumia almost 10 years ,searching for HAZINA YA MJERUMANI!! one day alirudi na Pasi, ndo kama wadau walivyochangia hapo juu, ukiipata hiyo mali wanunuzi wote wanayeyuka,anakumbia flani ndo ananunua, ukimfata naye anasema flani alinielekeza,mwishowe pasi ikakosa mteja. Sasa sifa za hii pasi, ni model ya pasi za mkaa, ila sasa yenyewe haihitaji huo mkaa wa moto, yenyewe inanyoosha nguo automatically bila kuweka/kutia mkaa wa moto, Kinachotakiwa ni wewe tu uiongoze/uishikilie upigapo pasi. Maajabu mengine ya hii pasi ni kuwa inahama, leo ukiiacha sebuleni kesho unaikuta chumbani, siku nyingine unaikuta jikoni. ukihitaji kuitumia yaani shwari kabisa unanyoosha nguo. Balaa lingine ya hii pasi ni kuwa ilianza kuua(kwa mujibu ya wataalamu wa jadi) kila baada ya miezi kadhaa mwanafamilia anafariki, ndani ya miezi 10 tokea pasi iwepo nyumbani walifariki watoto wawili na mtu mzima mmoja!! mtaalamu wa jadi(mganga) alipofuatwa ,akasema ile pasi aliyoileta ndugu yenu ndo sababu ya vifo!! hivyo kikao cha familia kikaitishwa ,Jamaa akaamuliwa na wazee airudshe hiyo pasi alikoitoa, Jamaa akatii, akasafiri kurudi kwenye hizo area zenye code walikoichimbua hiyo pasi, akairudsha, Akarudi hom, sasa jamaa akili zake ni kama zimeyumba hivi, wanafamilia wakampatia mashamba alime, na aoe,akapigwa marufuku na wazee ,asifuatlie hazina tena!!!
●●●●●●●●
Katika stori, kujionea pia, watu watafuta mali hizi, wale ambao wana ajira za kudumu,ama wana pesa zao tayari, wakiwa wanatafuta hazina hizi HAWAHARIBIKIWI/AKILI ZAO HAZIYUMBI/HAWAWEHUKI , lakini ambao hawana pesa,hawana plan B za maisha, hawana vipato vingne, Wakirudi toka kwenye hizo coded Areas huwa wamewehuka ,au akili zao si sawa na walizoondoka nazo. lkn mabwana wenye pesa hapo juu,hata kama hakurudi na chochote still anakuwa yuko mentally fit,
,I don't know the mechanism behind the scene!!!
Pasi halisi ya Mjerumani ilivyo ipo na urefu na upana kama wa Tecno Y-3 na ni nzito kama Kg5 na imefunika pote isipokuwa upande Mmmoja wa ubavuni inakuwa na Kimlango kidogo na ukikifungua utaona picha kama Passport size askari mwenye kofia na mshikio wa pasi ile upo kama uki thumb up👍 na upande wa juu inakuwa na mti wa mtende wenye Majani 5 kulia pembeni na kushoto kunakuwa na simba na sehemu ya Nyuma inakuwa na kitu kama Mzinga wa kulipulia na Lazima utaona maandishi kama LBs na serial # pamoja na German.inaweza kuwa ni shana nyekundu au Njano ya Godoro
 
na watu wengi wanaofatilia hizi mali za wajerumani, wanaishia kuwa kama machizi, sijui wanakosea masharti?? na wakirudi wanakuambia hali ngumu sanaa!! wachache wamefanikiwa!!
......
Barjun hizi Pasi zenyewe zikoje?? maana kuna jamaa huko geita ,mfuasi mzuri sanaa wa kutafuta hizi mali,ndugu wameshauri mno,lakini jamaa mbishi, katumia almost 10 years ,searching for HAZINA YA MJERUMANI!! one day alirudi na Pasi, ndo kama wadau walivyochangia hapo juu, ukiipata hiyo mali wanunuzi wote wanayeyuka,anakumbia flani ndo ananunua, ukimfata naye anasema flani alinielekeza,mwishowe pasi ikakosa mteja. Sasa sifa za hii pasi, ni model ya pasi za mkaa, ila sasa yenyewe haihitaji huo mkaa wa moto, yenyewe inanyoosha nguo automatically bila kuweka/kutia mkaa wa moto, Kinachotakiwa ni wewe tu uiongoze/uishikilie upigapo pasi. Maajabu mengine ya hii pasi ni kuwa inahama, leo ukiiacha sebuleni kesho unaikuta chumbani, siku nyingine unaikuta jikoni. ukihitaji kuitumia yaani shwari kabisa unanyoosha nguo. Balaa lingine ya hii pasi ni kuwa ilianza kuua(kwa mujibu ya wataalamu wa jadi) kila baada ya miezi kadhaa mwanafamilia anafariki, ndani ya miezi 10 tokea pasi iwepo nyumbani walifariki watoto wawili na mtu mzima mmoja!! mtaalamu wa jadi(mganga) alipofuatwa ,akasema ile pasi aliyoileta ndugu yenu ndo sababu ya vifo!! hivyo kikao cha familia kikaitishwa ,Jamaa akaamuliwa na wazee airudshe hiyo pasi alikoitoa, Jamaa akatii, akasafiri kurudi kwenye hizo area zenye code walikoichimbua hiyo pasi, akairudsha, Akarudi hom, sasa jamaa akili zake ni kama zimeyumba hivi, wanafamilia wakampatia mashamba alime, na aoe,akapigwa marufuku na wazee ,asifuatlie hazina tena!!!
●●●●●●●●
Katika stori, kujionea pia, watu watafuta mali hizi, wale ambao wana ajira za kudumu,ama wana pesa zao tayari, wakiwa wanatafuta hazina hizi HAWAHARIBIKIWI/AKILI ZAO HAZIYUMBI/HAWAWEHUKI , lakini ambao hawana pesa,hawana plan B za maisha, hawana vipato vingne, Wakirudi toka kwenye hizo coded Areas huwa wamewehuka ,au akili zao si sawa na walizoondoka nazo. lkn mabwana wenye pesa hapo juu,hata kama hakurudi na chochote still anakuwa yuko mentally fit,
,I don't know the mechanism behind the scene!!!
Pia huyo jamaa kama aliichukua Site basi alikuwa na kibali cha kuweza kuingia na kuona mali zile la CAESAR lakini akaingiwa na tamaa ya Kuchukua sasa yale madudu hayakuacha kumfuatilia ndiyo yakawa yanamuadhibu ilikuwa lazima apoze zili neg power zote na kibaki chombo cha kawaida tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom