Leo Tarehe 11 Oktoba 2018 kumefanyika mkutano wa wanawake wajasiliamali takribani 100 Kata ya Mzimuni Dar es salaam, na kuhudhuriwa na Bi Aziza Mohamed Ashrafi Mwenyekiti wa UWT, Sunnah Kambi Katibu wa UWT na Ndg, Mohammed Daudi Dole Mwenezi wa CCM Kata ya Mzimuni na Bw. Paul Charles Afisa Maendeleleo Kata ya Mzimuni.
Mgeni rasmi katika mkutano huo ni Afisa wa CCM Makao Makuu Ndg Said Said Nguya kwa niaba ya Humphrey Polepole Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Katika mkutano huo, Ndg Said Said amewaeleza Wakimama hao kuwa CCM inatambua jitihada zao, inaziunga mkono, na Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi ya 2015 - 2020 imewawekea mazingira mazuri na wezeshi wajasiriamali wadogo na kwa upekee wakinamama.
Kwa upande wao, Wanawake Wajasiriamali wa Kata ya Mzimuni wameeleza mbele ya Mgeni rasmi kuwa, wanakipenda Chama Cha Mapinduzi, wameahidi 2020 wanakazi moja tu, kuhakikisha ushindi mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Daktari Ndg yetu John Pombe Joseph Magufuli unapatikani.
Hakika siku ya leo imefana sana!
Imetolewa na;
UWT Kata ya Mzimuni.
Mgeni rasmi katika mkutano huo ni Afisa wa CCM Makao Makuu Ndg Said Said Nguya kwa niaba ya Humphrey Polepole Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM.
Katika mkutano huo, Ndg Said Said amewaeleza Wakimama hao kuwa CCM inatambua jitihada zao, inaziunga mkono, na Chama Cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi ya 2015 - 2020 imewawekea mazingira mazuri na wezeshi wajasiriamali wadogo na kwa upekee wakinamama.
Kwa upande wao, Wanawake Wajasiriamali wa Kata ya Mzimuni wameeleza mbele ya Mgeni rasmi kuwa, wanakipenda Chama Cha Mapinduzi, wameahidi 2020 wanakazi moja tu, kuhakikisha ushindi mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Daktari Ndg yetu John Pombe Joseph Magufuli unapatikani.
Hakika siku ya leo imefana sana!
Imetolewa na;
UWT Kata ya Mzimuni.