GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Hakuna sherehe hapa inakula kwa MC wa sherehe na kumbi za starehe
Hakuna imports hapa kwa wale wazee wa kwenda china kuchukua mzigo,sasa mnauza kitu gani baada ya stock kwisha
Wanamuziki wa bongo flavour ,Hakuna matamasha wala kwenda kupiga muziki kwenye kumbi ulaya au hapa nyumbani
Suppliers wa vyakula kwenye migahawa mashuleni na vyuoni hakuna
Makongamano ya morali na kutiana moyo toka kwa wajanja wale motivotional speakers au waongoza njia hakuna
Wale Dada zetu wa kujifanya bongo movie na kushinda mahotelini chali
Hivi zile picha za kujiremba kuonyesha maisha mazuri zimepungua sana instagram au ilikuwa fake life
Tushare kila mtu anapambana vipi,
Hofu kwa wafanyakazi kuwa serikali au makampuni yanaelekea kukosa mapato na kushindwa kulipa mishahara imekaaje huko?
Angalia miezi mitatu mbele toka sasa kama corona itaendelea hali ya biashara na uzalishaji itakuwaje
Jaribu kufikiria familia yako miezi mitatu ijayo kama corona itaendelea na lockdown zitaendelea huko kwa wenzetu itakuaje mapato ya serikali na biashara,kifuatacho
Hakuna imports hapa kwa wale wazee wa kwenda china kuchukua mzigo,sasa mnauza kitu gani baada ya stock kwisha
Wanamuziki wa bongo flavour ,Hakuna matamasha wala kwenda kupiga muziki kwenye kumbi ulaya au hapa nyumbani
Suppliers wa vyakula kwenye migahawa mashuleni na vyuoni hakuna
Makongamano ya morali na kutiana moyo toka kwa wajanja wale motivotional speakers au waongoza njia hakuna
Wale Dada zetu wa kujifanya bongo movie na kushinda mahotelini chali
Hivi zile picha za kujiremba kuonyesha maisha mazuri zimepungua sana instagram au ilikuwa fake life
Tushare kila mtu anapambana vipi,
Hofu kwa wafanyakazi kuwa serikali au makampuni yanaelekea kukosa mapato na kushindwa kulipa mishahara imekaaje huko?
Angalia miezi mitatu mbele toka sasa kama corona itaendelea hali ya biashara na uzalishaji itakuwaje
Jaribu kufikiria familia yako miezi mitatu ijayo kama corona itaendelea na lockdown zitaendelea huko kwa wenzetu itakuaje mapato ya serikali na biashara,kifuatacho