Wajapani wanawezaje kutumia magari na kuyauza africa?

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
Wahenga walisema kuuliza si ujinga.

Japan ni nchi inayofanya export ya magari mengi yaliyotumika kwenda nchi nyingi za Africa. Ingawa wajapan wapo milioni 128, wanawezaje kutumia magari na kuachia nchi za Africa kiasi kwamba hapajawahi kutokea upungufu wa magari used ikilinganishwa na population yao?.
 
Magari yao wakishayatumia yanakaa kwa muda mrefu kabla hayajauzwa nje hivyo yana accumulate, ndio maana gari hadi za miaka ya 1990 bado watu wanayaagiza toka Japan
 
Wanasheria ya kaucha kulitumia gari according to mileages ikifika distance fulani gari linakuwa linatoa hewa yenye kiwango kikubwa cha pollution ndomana tunaletewa sisi huku
 
Wanasheria ya kaucha kulitumia gari according to mileages ikifika distance fulani gari linakuwa linatoa hewa yenye kiwango kikubwa cha pollution ndomana tunaletewa sisi huku
Mkuu mi sijakuelewa kuhusu hiyo sheria ya "kaucha", hebu fafanua kidogo.
 
Magari yao wakishayatumia yanakaa kwa muda mrefu kabla hayajauzwa nje hivyo yana accumulate, ndio maana gari hadi za miaka ya 1990 bado watu wanayaagiza toka Japan
Kwa kiasi fulani nimekuelewa lakini, najaribu kuangalia population ya M128, kutumia magari na kuweza kukdhi ya nyingi za Africa, tena cha ajabu mengine wanauza kwa bei ya nyongeza
 
Wahenga walisema kuuliza si ujinga.

Japan ni nchi inayofanya export ya magari mengi yaliyotumika kwenda nchi nyingi za Africa. Ingawa wajapan wapo milioni 128, wanawezaje kutumia magari na kuachia nchi za Africa kiasi kwamba hapajawahi kutokea upungufu wa magari used ikilinganishwa na population yao?.
Kwa kiasi fulani nimekuelewa lakini, najaribu kuangalia population ya M128, kutumia magari na kuweza kukdhi ya nyingi za Africa, tena cha ajabu mengine wanauza kwa bei ya nyongeza
Angalia idadi ya magari/idadi ya watu japan vs africa.

Nikupe mfano UK 2015 yamenunuliwa magari mapya 2.6m ambayo inaweza kuwa zaidi ya magari yote TZ. Magari mengi TZ ni used over 7yrs sasa imagine UK after 10yrs kutakuwa na used ngapi ambazo ndio zinauzwa Africa.
 
Angalia idadi ya magari/idadi ya watu japan vs africa.

Nikupe mfano UK 2015 yamenunuliwa magari mapya 2.6m ambayo inaweza kuwa zaidi ya magari yote TZ. Magari mengi TZ ni used over 7yrs sasa imagine UK after 10yrs kutakuwa na used ngapi ambazo ndio zinauzwa Africa.
Nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom