Hilo neno 'kudhibiti' kwenye heading ya thread linanipa shida kidogo. Maji kiasi gani yanatakiwa kusukuma uchafu? Na mtu anatumia kiasi gani cha maji ili tanki lijae ili kusukuma uchafu kwa ufanisi?
Endapo tumbo limechafuka na mwendo kuwa kasi mithili ya bodaboda, je kuna namna ya ku-by pass hiyo system ya kunawa mikono?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.