Wajapan wamebuni mbinu ya kudhibiti matumizi ya maji

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1572578326596.jpeg


Maji unayonawia mikono ndiyo yanasukuma uchafu.
 
Hilo neno 'kudhibiti' kwenye heading ya thread linanipa shida kidogo. Maji kiasi gani yanatakiwa kusukuma uchafu? Na mtu anatumia kiasi gani cha maji ili tanki lijae ili kusukuma uchafu kwa ufanisi?
Endapo tumbo limechafuka na mwendo kuwa kasi mithili ya bodaboda, je kuna namna ya ku-by pass hiyo system ya kunawa mikono?
 
we mama wa ufipani hapo ulichoona ni ubunifu mpya

Sasa tukinawa nyumba nzima kwenye ndoo, halafu hayo maji tukayamwaga chooni nao unaitwa ubunifu
 
Kuna mizigo hadi nusu kilo! sidhani kama maji ya kunawa yataweza iyo shughuli...
 
Back
Top Bottom