fortuner
Member
- Jul 9, 2013
- 75
- 97
Aisee bas runx yangu iko tofauti.......ina cc 1490 na engine ya 1nz fe......wengine wanasema tofauti ya hizo gari mbili ni rangi za dashbord na interior.
Uko sahihi hakuna Runx ya cc1700 either amepitiwa au kutokujua kwa hilo amepotosha