dodoso33
Member
- Oct 9, 2012
- 38
- 11
kiukweli napataga taabu sana sijui ni kwanini nina note book aina ya accer yani tatizo lake kubwa haisomi any device ya usb na flash hapo siku za nyuma kidogo ilikuwa inakubali kusoma modem na flash mpaka uwashe ukiwa umeshachomeka cha ajabu sasa hivi imekataa kabisaa sasa sijui nifanyaje msaada wenu wapendwa natanguliza shukrani zangu za dhati