wajamenii wajameni embu angalieni wenyewe!!!

dodoso33

Member
Oct 9, 2012
38
11
kiukweli napataga taabu sana sijui ni kwanini nina note book aina ya accer yani tatizo lake kubwa haisomi any device ya usb na flash hapo siku za nyuma kidogo ilikuwa inakubali kusoma modem na flash mpaka uwashe ukiwa umeshachomeka cha ajabu sasa hivi imekataa kabisaa sasa sijui nifanyaje msaada wenu wapendwa natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Miaka ya nyuma nilikua na desktop computer ambayo pia ilikua na tatizo hilohilo. Nilijaribu ku-install USB Drivers na hata kubadili Operating Systems bila mafanikio. Baada ya muda nilinunua USB Ports Extension hivyo nikawa nikitaka kuchomeka flash nachomeka kwenye ile extension ambayo naichomeka kwenye computer. That solved my problem. By try googling you may find a better solution.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom