Lema amekula mshale.
Na Mr MEDIA naye kala mmoja wa tako.
CAG na Mdee mbona sioni kama wamedungwa, tena Mdee anatabasamu kabisa.CAG kalengwa tayari...
CAG na Mdee mbona sioni kama wamedungwa, tena Mdee anatabasamu kabisa.
Mshale mmoja unapita juu ya kichwa cha CAG.Watu wengine bwana... Walimu wana shida sana. Nimesema kalengwa, wewe unasema kudungwa! Nimekuwa mwalimu sijui matoto kama wewe ningeyavumiliaje...