Waitara ni Jembe, aamua kuifuta CHADEMA Mkoa wa Mara

Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi

Chanzo TBC ARIDHIO
Endeleeni kujidanganya tu!!! Tarime ni ya Heche na Matiko.
 
Wameona chama mama kimefurika.....

Sent using Redmi Note 7 Pro
 
Bila maisha bora kwa wananchi, haya yooote ni bure tu kama ngozi ya punda.
 
'Hata CCM pamoja na kwamba wameshika dola na pesa za nchi hii lakini hawamfukuzi Mbunge kirahisi'.

Hivi Nyalandu alitumuliwaje CCM?
Nyalandu alijitoa mwenyewe CCM hakufukuzwa.
Anasema roho ilimsuta kubaki kwenye chama kilichopoteza zile imani za chama hasa baada ya Tundu Lisu kupigwa risasi halafu CCM wakawa hawana ujasiri wa kwenda kumsalimia mbunge mwenzao.
Hakufukuzwa.
Na Nyarandu sio mtu mkorofi ila ni mcha Mungu anayeamini katika Utu na Upendo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!

Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!

Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!

Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!

Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?



Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema imeshakufa, haipo tena.
 
Hivi toka matukio hayo yaanze hadi Leo hao Chadema hawajaisha tuu na ikafa?
Wameondoka wabunge na chaguzi za marudio zikafanywa katafunua lakini Chadema WAPO TUU!

Madiwani wakajivua kwa makundi makundi tena kwa kashfa nzito lakini Chadema WAPO TUU!

Wakawashambulia na kuwaua viongozi na wengine kuwajeruhi kwa risasi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwafukuza na kuwafungia Bungeni wasishiriki vikao vingi lakini Chadema WAPO TUU!

Wamekuwa wakiwazulia kesi mbalimbali mahakamani kuanzia ugaidi hadi uchochezi lakini Chadema WAPO TUU!

Na fungakazi ni majuzi wamewahukumu kifungo au faini kubwa sana milioni 350 lakini hakuna hata shilingi ya chama iliyotumika pamoja na kwamba makosa waliyohukumiwa nayo ni ya kikazi, bali chama kinachosemwa kimekimbiwa na watu faini hiyo ilichangiwa na hao hao ndani ya siku NNE. Na Chadema WAPO TUU!

Sasa mtueleze hiyo Chadema mnayo sema ina sambaratishwa ni IPI?



Sent using Jamii Forums mobile app
Politics is a dity game... Ounce you choose to be in opposition side get you self ready to face the consequences.
 
Kijana, ndani ya CCM tokea kale vijana wetu walijawa na weledi na staha. Pia mijadala mingi kijana aliyeisemea CCM (tokea TANU) alisisimua kwa mtiririko wa hoja.
Well said, naikumbuka ile UVCCM ya miaka ya 1980 ilivyokuwa na wanasiasa wenye uwezo sio hii ya akina sabaya, jerry na wenzake ambayo hata katibu mkuu wao anasema imepoteza uelekeo
 
Back
Top Bottom