Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Endeleeni kujidanganya tu!!! Tarime ni ya Heche na Matiko.Jana Waheshimiwa madiwani wawili walihama CHADEMA na wanachama kibao leo tena viongozi wa mkoa, Kata, matawi na wanachama maelfu kwa maelfu wa CHADEMA wamehama na kwenda NCCR Mageuzi
Chanzo TBC ARIDHIO