USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
Naibu waziri wa TAMISEMI amemtaka mbunge wa Hai, Freeman Mbowe ampigie simu ampe malalamiko yake ya kijimbo asione aibu kwa kuwa yeye Mwita kwa sasa ni bosi wake tu.
Kauli hii imekuja baada ya kuzuka mgogoro juu ya mbunge huyo na mkuu wa wilaya ya Hai, Ole Sabaya katika mambo mbalimbali ikiwamo mkuu huyo wa wilaya kudaiwa kuchukua ofisi ya mbunge huyo ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni iliyokuwa katika jengo la uhamiaji wilayani Hai.
Inadaiwa Mbowe amekuwa akilalamika mitaani bila kufikisha malalamiko wizarani husika kwa kuona aibu kuwa Naibu Waziri huyo sasa ni bosi wake na Mbowe alimtishia kwa dharau wakati akiwa Chadema
Inadaiwa mgogoro wa DC Sabaya na Mbowe unazidi kukua tangu DC huyo kuonekana mchapakazi sana jimboni na kumfunika Mbowe ambaye huishi Dar es Salaam na kwenda jimboni Mara chache
'Namuomba Mbowe asilalamike mitaani na wala asione aibu kinipigia maana Mimi ndio bosi wa Ole Sabaya na pia ninayodhama na wilaya ya Hai' alisema Naibu Waziri, Mwita Waitara
USSR
Kauli hii imekuja baada ya kuzuka mgogoro juu ya mbunge huyo na mkuu wa wilaya ya Hai, Ole Sabaya katika mambo mbalimbali ikiwamo mkuu huyo wa wilaya kudaiwa kuchukua ofisi ya mbunge huyo ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni iliyokuwa katika jengo la uhamiaji wilayani Hai.
Inadaiwa Mbowe amekuwa akilalamika mitaani bila kufikisha malalamiko wizarani husika kwa kuona aibu kuwa Naibu Waziri huyo sasa ni bosi wake na Mbowe alimtishia kwa dharau wakati akiwa Chadema
Inadaiwa mgogoro wa DC Sabaya na Mbowe unazidi kukua tangu DC huyo kuonekana mchapakazi sana jimboni na kumfunika Mbowe ambaye huishi Dar es Salaam na kwenda jimboni Mara chache
'Namuomba Mbowe asilalamike mitaani na wala asione aibu kinipigia maana Mimi ndio bosi wa Ole Sabaya na pia ninayodhama na wilaya ya Hai' alisema Naibu Waziri, Mwita Waitara
USSR