USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,895
- 22,659
Kupanic huko vipi kwani hujui kuwa vyama vyote tz vimekaliwa na magenge ya watuHapa tayari umeshapanic
USSR
Kupanic huko vipi kwani hujui kuwa vyama vyote tz vimekaliwa na magenge ya watuHapa tayari umeshapanic
Roho inakuuma mnoo CCM mmepasuka mara mbili unatamani na CDM wagawanyike 😂Kupanic huko vipi kwani hujui kuwa vyama vyote tz vimekaliwa na magenge ya watu
USSR
Pumbavu kipindi Ndungai anaingilia mijadala ya bunge hai 2015-19 mlikuwa mnashangilia!! Saizi mnaona umuhimu wa mijadala HURU?.Jukumu lake ni kumoderate discussions kwenye Bunge sio kuwajibia maswali Mawaziri.
Zungu apumzike Sasa.Leo mbunge Waitara amewashukia naibu Waziri maliasili na Waziri wa ardhi na kuwalaumu kumtegea mabomu njiani. Waitara amesema wahusika wameenda jimboni kwake na kudai wamemshirikisha eneo la mipaka na kuwahamisha watu bonde la mto Msimbazi.
Waitara amewataka mawaziri wa Maliasili na Ardhi waende mkoa wa Mara kwani hawawezi kwenda peke yao na kuwapa wananchi wake taarifa za uongo, Waitara amesisitiza watagombana.
Mwisho amesema amewekewa bomu ambalo hatakubali kulipuka peke yake bali watalipuka wote.
Kuhusu ripoti ya Jaffo, amesema walishaandikiana sana na mgodi lakini ripoti ya Jaffo imeharibu hali ya hewa.
Akimjibu, Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu amenena
Mussa Zungu: Asante mheshimiwa Waitara lakini wewe ulikuwa naibu Waziri wa mazingira na ulikuwa unakwenda kwenye migodi wala wabunge wenzio huwaambii, na umemaliza ukaenda huko uchukuzi, unaenda huko unakagua lakini huwaambii lakini hoja yako ni ya msingi.
Kwa mawaziri mkienda huko muambizane lakini habari ndio hiyo.
Waliokuwa wakifurahia pindi wenzio walipokuwa wakishushiwa vitu vizuto kichwani, Sasa zamu yao imefika wanalia Lia.😜Pumbavu kipindi Ndungai anaingilia mijadala ya bunge hai 2015-19 mlikuwa mnashangilia!! Saizi mnaona umuhimu wa mijadala HURU?.
Ana sindromu za yule aliye exileJukumu lake ni kumoderate discussions kwenye Bunge sio kuwajibia maswali Mawaziri.
Kumbe wa kijani nanyi mwakerwa? SAY IT LOUD man.Tunawazee wa hovyo sana taifa hili
USSR
Ngapi hukoo😂Kumbe wa kijani nanyi mwakerwa? SAY IT LOUD man.
Kama ni kweli tuungane tuiletee nchi hii katiba ya wananchi. Hiyo ndio dawa itakayoweza kuzuia uwepo wa takataka kama hizi.
Jukumu lake ni kumoderate discussions kwenye Bunge sio kuwajibia maswali Mawaziri.
Ulichosema ni kweli tupu. Toka Enzi hizo wabunge wote wanapiga sana kelele kuhusu mgodi huyo. Lakini wakikodiwa ndege na kwenda kuutembelea huo mgodi, wakirudi utakuta kimyaaaa utafikiri siyo wale waliokuwa wanatoa povu.Nasikia wanatokaga na bahasha nono kweli kweli
Sema wewe ili uwe na amani.Mbona ulikuwa husemi hivyo wakati wa jobo na jiwe?
Unafki mtupu.
si ndo mbunge wa Ilala huyu au...ila pale Ilala maghorofani ...asee wanampendaaa lazima sasa hivi yuko paleee bar ya Maghorofani anakula urabu....... sijui kwa nini!...anapenda!...naZungu alishapitwa na wakati.