sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Katika mji wa Jerusalem, Kumetokea mauaji ya wa Israel wawili walioshambuliwa kwa kisu na Mpalestina (Kauwawa baada ya kufanya shambulizi)
Katika kipindi hiki aina hii ya mashambulizi huenda yakaongezeka, wapalestina huyatumia kama njia ya kulipa kisasi baada ya Hamas kuzidiwa wiki iliopita na kukubaliana na Israel kuwe na cease fire
Ila cha ajabu pia Media nyingi zimekaa kimya kuhusu hii ishu.
Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki Palestina
Katika kipindi hiki aina hii ya mashambulizi huenda yakaongezeka, wapalestina huyatumia kama njia ya kulipa kisasi baada ya Hamas kuzidiwa wiki iliopita na kukubaliana na Israel kuwe na cease fire
Ila cha ajabu pia Media nyingi zimekaa kimya kuhusu hii ishu.
Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki Palestina