WaIsrael wawili wachomwa kisu na Mpalestina huko Jerusalem

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,028
Katika mji wa Jerusalem, Kumetokea mauaji ya wa Israel wawili walioshambuliwa kwa kisu na Mpalestina (Kauwawa baada ya kufanya shambulizi)

Katika kipindi hiki aina hii ya mashambulizi huenda yakaongezeka, wapalestina huyatumia kama njia ya kulipa kisasi baada ya Hamas kuzidiwa wiki iliopita na kukubaliana na Israel kuwe na cease fire

Ila cha ajabu pia Media nyingi zimekaa kimya kuhusu hii ishu.

Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki Palestina
1621939169188.png
1621939230381.png
 
Waarabu warudishwe Arabuni am sure watafurahi kukutana na Arabs wenzao Israel iachwe inasumbuka sana...
 
Back
Top Bottom