Waislamu wawili watanzania wafariki wakiwa hija

Jile79

JF-Expert Member
May 28, 2009
17,668
13,236
Imekuwa ikitokea kila waislamu waendapo hija huko macca watu wanakufa hovyo eti kwa kukanyagana kutokana na wingi wa wahujaji.Ninacho jua ni kwamba hija ni mahali pa kujitakasa lakini kwa nini watu wanakufa kila hija.Taarifa zilizopo ni kwamba mpaka leo watanzania wawili wameshafariki na inawezekana idadi ikaongezeka...........
Jamani hapo pana hija kweli?
 
Imekuwa ikitokea kila waislamu waendapo hija huko macca watu wanakufa hovyo eti kwa kukanyagana kutokana na wingi wa wahujaji.Ninacho jua ni kwamba hija ni mahali pa kujitakasa lakini kwa nini watu wanakufa kila hija.Taarifa zilizopo ni kwamba mpaka leo watanzania wawili wameshafariki na inawezekana idadi ikaongezeka...........
Jamani hapo pana hija kweli?

Binafsi naomba utupe Source ya habari hizi. maana yake tunaangalia kila kitu kwenye TV, hija nzima sijaona hata mtu mmoja aliekufa kwa kukanyagwa labda wale waliopata maradhi mbalimbali ya mafua ya Nguruwe na wengine shinikizo la damu.

Muda mfupi nilikuwa naongea na mmoja wa member wa JF Bwana HM Hafif ambaye ameenda hija. Amenieleza aliyefariki ni Mama Gumbo. Huyu ni hakimu wa mahakama za mwanzo aliwahi kuwa hata pale mahakama ya kariakoo. Amenieleza anakaa Tabata Umoja Road. Ni mama wa Kingazija. Amekufa kutokana na shinikizo la damo ugonjwa huu alitoka nao nyumbani.

Inna Lillahi wainna Ilaihi Rajihunna.
 
Hii ni sms kutoka HM Hafif ( ni sms mbli naziunganisha hapa)

"Dr waambie huo ni uzushi mkubwa sana. aislam woooote tulio huku tumemaliza ibada zetu za hija toka ijumaamosi na sasa tupo tunafanya ziara kwenye sehemu mbalimbali za historia ambazo rasul alipita.

Wasisitizie wana JF watazame TV kwani hija sio siri kila kitu kinaonyeshwa.

Mama Gumbo tumemzika juzi huku huku Makka. Na liongozana na Mtoto wa kakaye Mohammed Khalfan Amour ambaye ni Engineer wa Tigo.

waache mambo ya kuzua.
 
Binafsi naomba utupe Source ya habari hizi. maana yake tunaangalia kila kitu kwenye TV, hija nzima sijaona hata mtu mmoja aliekufa kwa kukanyagwa labda wale waliopata maradhi mbalimbali ya mafua ya Nguruwe na wengine shinikizo la damu.

Muda mfupi nilikuwa naongea na mmoja wa member wa JF Bwana HM Hafif ambaye ameenda hija. Amenieleza aliyefariki ni Mama Gumbo. Huyu ni hakimu wa mahakama za mwanzo aliwahi kuwa hata pale mahakama ya kariakoo. Amenieleza anakaa Tabata Umoja Road. Ni mama wa Kingazija. Amekufa kutokana na shinikizo la damo ugonjwa huu alitoka nao nyumbani.

Inna Lillahi wainna Ilaihi Rajihunna.

Ina maana huko makka maujaji wanatwanga mbuzi katoliki kwa kwenda mbele.siwezi kushangaa jinsi mnyama alivyo mtamu uzalendo unawekwa pembeni.Hii habari imenikumbusha mbal enzi za Mzee Ruksa waliwahi kutokea waislamu wenye siasa kali wakavunja mabucha ya nyama ya nguruwe wakaiba mizani na nyama wakatia ndani duh duniani kuna mambo.
 
Hii ni sms kutoka HM Hafif ( ni sms mbli naziunganisha hapa)

"Dr waambie huo ni uzushi mkubwa sana. aislam woooote tulio huku tumemaliza ibada zetu za hija toka ijumaamosi na sasa tupo tunafanya ziara kwenye sehemu mbalimbali za historia ambazo rasul alipita.
Ina maana Barubaru na wewe ni doctor? Ni doctor wa matibabu au Holder wa PhD ?
 
Ina maana huko makka maujaji wanatwanga mbuzi katoliki kwa kwenda mbele.siwezi kushangaa jinsi mnyama alivyo mtamu uzalendo unawekwa pembeni.Hii habari imenikumbusha mbal enzi za Mzee Ruksa waliwahi kutokea waislamu wenye siasa kali wakavunja mabucha ya nyama ya nguruwe wakaiba mizani na nyama wakatia ndani duh duniani kuna mambo.

Huo ni uchokozi sasa....
 
Binafsi naomba utupe Source ya habari hizi. maana yake tunaangalia kila kitu kwenye TV, hija nzima sijaona hata mtu mmoja aliekufa kwa kukanyagwa labda wale waliopata maradhi mbalimbali ya mafua ya Nguruwe na wengine shinikizo la damu.

Muda mfupi nilikuwa naongea na mmoja wa member wa JF Bwana HM Hafif ambaye ameenda hija. Amenieleza aliyefariki ni Mama Gumbo. Huyu ni hakimu wa mahakama za mwanzo aliwahi kuwa hata pale mahakama ya kariakoo. Amenieleza anakaa Tabata Umoja Road. Ni mama wa Kingazija. Amekufa kutokana na shinikizo la damo ugonjwa huu alitoka nao nyumbani.

Inna Lillahi wainna Ilaihi Rajihunna.
Swali hapa ni hili, iweje mtu anatoka huku mzima, akifika huko anafariki? ni kwa nini akiwa hapa anaishi vizuri na ugonjwa wake huo wa moyo, lakini akifika huko afe?

Pia huu sio uungwana, mtu anafia maka anazikwa huko, eti aletwi huku kwa mazishi, tutaamini vipi kama kafa kikawaida au kauawawa?
na kama kachunwa ngozi? tutajuaje?
 
Imekuwa ikitokea kila waislamu waendapo hija huko macca watu wanakufa hovyo eti kwa kukanyagana kutokana na wingi wa wahujaji.Ninacho jua ni kwamba hija ni mahali pa kujitakasa lakini kwa nini watu wanakufa kila hija.Taarifa zilizopo ni kwamba mpaka leo watanzania wawili wameshafariki na inawezekana idadi ikaongezeka...........
Jamani hapo pana hija kweli?

Kwa nini wanakanyagana? au ndo staili ya kufanya ibada?
 
Ina maana huko makka maujaji wanatwanga mbuzi katoliki kwa kwenda mbele.siwezi kushangaa jinsi mnyama alivyo mtamu uzalendo unawekwa pembeni.Hii habari imenikumbusha mbal enzi za Mzee Ruksa waliwahi kutokea waislamu wenye siasa kali wakavunja mabucha ya nyama ya nguruwe wakaiba mizani na nyama wakatia ndani duh duniani kuna mambo.

Huo ni uchokozi sasa....
Jamani msianze kutukanana, mafua ya nguruwe yanaenea kwa kuvuta hewa ya mtu aliye na vidudu hivyo, iwapo atakupigia chafya au kukohoa mbele yako,

hata hivyo mtu wa kwanza ni lazima awe amekula nguruwe, kisha apige chafya ndipo anawaambukiza wengine, hii ina maana kuwa huko macca kuna waislamu walitoka makwao wakiwa wamekula nguruwe.
 
Lakini swali ni je, kwa nini waislam wanapokwenda kuhiji hufa sana kila mwaka? Shinikizo la damu sawa ni ugonjwa anaoweza kuupata mtu wakati wowote na pahala popote, lakini wakati wa kumtupia mawe shetani twaambiwa watu hukanyagana sana, huyo shetani anajibu mapigo kwao wamtupiao mawe? Wanakanyagana wakiwa kwenye haraka gani? Kwani wanamwona wanayemtupia mawe? Shetani si ni roho?

Leka
 
Lakini swali ni je, kwa nini waislam wanapokwenda kuhiji hufa sana kila mwaka? Shinikizo la damu sawa ni ugonjwa anaoweza kuupata mtu wakati wowote na pahala popote, lakini wakati wa kumtupia mawe shetani twaambiwa watu hukanyagana sana, huyo shetani anajibu mapigo kwao wamtupiao mawe? Wanakanyagana wakiwa kwenye haraka gani? Kwani wanamwona wanayemtupia mawe? Shetani si ni roho?

Leka
Hawa watu hawana ustaalabu, wewe huwa huwaoni wakati wa mazishi, ukizubaa ndani wanakufukia mzima mzima, wao wanafanya kila kitu haraka haraka tena bila ustaalabu,
 

Ina maana huko makka maujaji wanatwanga mbuzi katoliki kwa kwenda mbele.siwezi kushangaa jinsi mnyama alivyo mtamu uzalendo unawekwa pembeni.Hii habari imenikumbusha mbal enzi za Mzee Ruksa waliwahi kutokea waislamu wenye siasa kali wakavunja mabucha ya nyama ya nguruwe wakaiba mizani na nyama wakatia ndani duh duniani kuna mambo.

Mkuu wewe ni mtu mzima na unajua mafua ya nguruwe yanasambaaje, mbona unakashifu dini ya wenzako? Barubaru ameweka vitu wazi sasa si tuache basi haya yetu ya ligi za kombe la mbuzi kila kukicha?!
 
Hawa watu hawana ustaalabu, wewe huwa huwaoni wakati wa mazishi, ukizubaa ndani wanakufukia mzima mzima, wao wanafanya kila kitu haraka haraka tena bila ustaalabu,

hiyo kali kuzikwa mzima???
 
mkuu mbona huna point.kufa mtu unaweza kufa popote pale hata kanisani wakati umekaa kitako tu.sasa wewe kama huamini wingi wa mamilioni ya watu sehemu moja haiwezi kusababisha maafa basi endelea hivyo na fikra zako ndogo.
 
Heshima kwako MTM.

Mafua ya nguruwe yanaenezwa kwa njia ya hewa,lakini mtu anayeambukiza wengine lazima awe ametafuna nyama ya nguruwe.Naomba kusahihishwa kwa faida ya wengine.



Mkuu wewe ni mtu mzima na unajua mafua ya nguruwe yanasambaaje, mbona unakashifu dini ya wenzako? Barubaru ameweka vitu wazi sasa si tuache basi haya yetu ya ligi za kombe la mbuzi kila kukicha?!
 
Back
Top Bottom