Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 148
Habari za propaganda za kisiasa hizo!!! Mwaka 1995 tulikuwa na CUF kuwa chama cha kidini, mwaka 2010 tumekuwa na Chadema kuwa chama cha kidini. Tumeshuhudia mambo mengi sana ikiwa na akina Mahita kuwatuhumu waislam wenzao kuwa magaidi.
Jamani lazima tujue kuwa tuko kwenye mapambano ili kila chama kishike dola na hili ni kwa CDM, CCM,UDP au TLP. Maandamano ya Chadema kwa wenye akili finyu wanaona hayajawasaidia ila wamepata kujitangaza zaidi na kuungwa mkono kwa wingi. Walipo anza operation Sangara wenzao wa CUF na CCM waliendelea kuwadharau hivyo hivyo lakini uchaguzi wa mwaka jana umeonesha matunda ya Operation sangara kwa kuongeza idadi ya ubunge wa kuchaguliwa kama mara 10. Hivi sasa hofu ya CCM, CHEYO na MREMA ni kuwa 2015 majimbo yao wanaweza kuchukuliwa zqaidi na CDM hivyo njia rahisi ni kusema maandamano yanavunja amani na hayasaidiii kitu!!!
CCM inatumia njia nyingi ikiwemo hiyo ya radio Imam. Waislam wenye akili wanajua wanachokifanya na tutawaona wakiandamana pamoja na CDM. Waislamu wengi ni waelewa.
Jamani lazima tujue kuwa tuko kwenye mapambano ili kila chama kishike dola na hili ni kwa CDM, CCM,UDP au TLP. Maandamano ya Chadema kwa wenye akili finyu wanaona hayajawasaidia ila wamepata kujitangaza zaidi na kuungwa mkono kwa wingi. Walipo anza operation Sangara wenzao wa CUF na CCM waliendelea kuwadharau hivyo hivyo lakini uchaguzi wa mwaka jana umeonesha matunda ya Operation sangara kwa kuongeza idadi ya ubunge wa kuchaguliwa kama mara 10. Hivi sasa hofu ya CCM, CHEYO na MREMA ni kuwa 2015 majimbo yao wanaweza kuchukuliwa zqaidi na CDM hivyo njia rahisi ni kusema maandamano yanavunja amani na hayasaidiii kitu!!!
CCM inatumia njia nyingi ikiwemo hiyo ya radio Imam. Waislam wenye akili wanajua wanachokifanya na tutawaona wakiandamana pamoja na CDM. Waislamu wengi ni waelewa.